Kauli Tata za Gwajima dhidi ya Kikwete zarejea kwa Samia

Kauli Tata za Gwajima dhidi ya Kikwete zarejea kwa Samia

Askofu Josephat Gwajima ameendelea kudhihirisha chuki zake dhidi ya Uislamu, msimamo aliokuwa nao tangu enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ambao sasa ameuhamishia kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Si mara moja wala mara mbili ambapo Gwajima ametumia majukwaa ya dini na siasa kutoa kauli zenye ubaguzi wa kidini.

Katika moja ya video zake enzi ya utawala wa Kikwete, Gwajima aliwahi kusema hadharani: “Uongozi wa Kikwete ndiyo ulikuwa wa mwisho kufuga majini Ikulu.”

Kupitia kauli hiyo, alijaribu kupandikiza fikra potofu kuwa Rais Kikwete, kwa kuwa Muislamu, alikuwa mshirikina na mfuga majini.

Si hilo tu, aliwahi pia kusema kuwa “dini ya Kiislamu ni dini ya uchawi na majini.” Kauli ya uchochezi inayolenga kuchafua taswira ya dini hiyo.

Gwajima pia aliwahi kutamka kuwa ana ndoto ya “kugeuza misikiti yote kuwa shule za Sunday Schools” akisisitiza kuwa hatafariki kabla ya kutimiza ndoto hiyo.

Samia na Kikwrte siyo Uislam.
 
Askofu Josephat Gwajima ameendelea kudhihirisha chuki zake dhidi ya Uislamu, msimamo aliokuwa nao tangu enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ambao sasa ameuhamishia kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Si mara moja wala mara mbili ambapo Gwajima ametumia majukwaa ya dini na siasa kutoa kauli zenye ubaguzi wa kidini.

Katika moja ya video zake enzi ya utawala wa Kikwete, Gwajima aliwahi kusema hadharani: “Uongozi wa Kikwete ndiyo ulikuwa wa mwisho kufuga majini Ikulu.”

Kupitia kauli hiyo, alijaribu kupandikiza fikra potofu kuwa Rais Kikwete, kwa kuwa Muislamu, alikuwa mshirikina na mfuga majini.

Si hilo tu, aliwahi pia kusema kuwa “dini ya Kiislamu ni dini ya uchawi na majini.” Kauli ya uchochezi inayolenga kuchafua taswira ya dini hiyo.

Gwajima pia aliwahi kutamka kuwa ana ndoto ya “kugeuza misikiti yote kuwa shule za Sunday Schools” akisisitiza kuwa hatafariki kabla ya kutimiza ndoto hiyo.
Siku zote mlikuwa wapi hadi sasa muanze kutafuta kauli za zamani ili kumchonganisha Samia na Gwajima? Uislam na ukristo?
 
Utekaji na mauaji ni kauli tata we msenge kweli na ni shetani kabisa. Ameuawa ndugu yetu Ali Kibao nani ulimwona akikemea zaidi ya kuambiwa kifo ni kifo tu, kwenye suala la uhai wa watu tuache kuingiza dini dini hizi dini zililetwa tu uhai wa binadamu ni kitu cha thamani kuliko kitu chochote ulitambue hilo
 
Askofu Josephat Gwajima ameendelea kudhihirisha chuki zake dhidi ya Uislamu, msimamo aliokuwa nao tangu enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ambao sasa ameuhamishia kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Si mara moja wala mara mbili ambapo Gwajima ametumia majukwaa ya dini na siasa kutoa kauli zenye ubaguzi wa kidini.

Katika moja ya video zake enzi ya utawala wa Kikwete, Gwajima aliwahi kusema hadharani: “Uongozi wa Kikwete ndiyo ulikuwa wa mwisho kufuga majini Ikulu.”

Kupitia kauli hiyo, alijaribu kupandikiza fikra potofu kuwa Rais Kikwete, kwa kuwa Muislamu, alikuwa mshirikina na mfuga majini.

Si hilo tu, aliwahi pia kusema kuwa “dini ya Kiislamu ni dini ya uchawi na majini.” Kauli ya uchochezi inayolenga kuchafua taswira ya dini hiyo.

Gwajima pia aliwahi kutamka kuwa ana ndoto ya “kugeuza misikiti yote kuwa shule za Sunday Schools” akisisitiza kuwa hatafariki kabla ya kutimiza ndoto hiyo.
Kenge kama kenge
 
Huwezi kuchangia bila lugha chafu?
Mkuu kenge ni jina rasmi kabisa alilitumia ndungu muheshimiwa mbunge ndani ya bunge letu tukufu na ikahifadhiwa kwenye “hansadi” za kibunge huku Spika wa bunge akikenua meno kwa kicheko

Usiwaze sana kenge mwenzangu
Hili sio tusi
 
Askofu Josephat Gwajima ameendelea kudhihirisha chuki zake dhidi ya Uislamu, msimamo aliokuwa nao tangu enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ambao sasa ameuhamishia kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Si mara moja wala mara mbili ambapo Gwajima ametumia majukwaa ya dini na siasa kutoa kauli zenye ubaguzi wa kidini.

Katika moja ya video zake enzi ya utawala wa Kikwete, Gwajima aliwahi kusema hadharani: “Uongozi wa Kikwete ndiyo ulikuwa wa mwisho kufuga majini Ikulu.”

Kupitia kauli hiyo, alijaribu kupandikiza fikra potofu kuwa Rais Kikwete, kwa kuwa Muislamu, alikuwa mshirikina na mfuga majini.

Si hilo tu, aliwahi pia kusema kuwa “dini ya Kiislamu ni dini ya uchawi na majini.” Kauli ya uchochezi inayolenga kuchafua taswira ya dini hiyo.

Gwajima pia aliwahi kutamka kuwa ana ndoto ya “kugeuza misikiti yote kuwa shule za Sunday Schools” akisisitiza kuwa hatafariki kabla ya kutimiza ndoto hiyo.
Achaneni na mambo ya kidini hayatufikishi kokote. Dini yetu kuu ni utanzania mengine yote ni mbwembwe tu.
 
Elimu ni kikwazo kwa vijana wengi wa Kiislam hapa Tanzania. Sielewi kwanini hawapendi kusikia ama kuambiwa ukweli, ukiwaelimisha wanakuita kafiri simply because hawajuwi wakifanyacho wakati wewe unawafundisha ili nao wawafundishe wenzao lakini hawataki kusikia ukweli wako stuck kwenye uwongo na kujiaminisha upuuzi usio na kichwa wala miguu. Sijuwi tunawasaidiaje hawa wapuuzi.
Tuendelee kuzungumza, wenye akili zao TIMAMU wanaweza kubadilika kifikra, ila kwa mambumbumbu, tusitegemee kitu.
 
Hata haseme nn mbele yetu sisi waislamu ni mnafiki na alisha onyesha chuki za wazi dhidi yetu na hatokuja kupata support yetu. Tutamkumbusha kila muislamu kwa kila njia.
Alafu support yetu waislamu sio ya lazima nyie endelezeni harakati zenu sio lazima tuwaunge mkono.
Muislamu gani unakubali serikali Yako kutekwa watu na kuuwa watu.

Wewe si muislamu wewe ni kafiri mkubwa
 
Katika harakati za kulazimisha Waislamu waonekane hawana akili.

Fanya tu uchawa wa kawaida sio lazima uingize na Uislamu.
 
Sisali kwa Gwajima, lakini hakuna jambo limeniuma mwaka huu kama serikali kufungia kanisa lote, na yale makanisa mikoani na kwengine takribani 2000, waumini malaki wote hao wamenyimwa haki ya kuabudu kwa sababu ya kosa moja la mtu aliyepo Dar es Salaam.

1. katiba inatoa haki ya kuabudu, hadi wapagani wana haki hiyo, ila samia anafunga kanisa. Kufunga makanisa nchi nzima kunanyima haki waumini ambao hawana kosa lolote wasiabudu, tafadhali rudisheni usajili ili nchi ikae na amani na furaha. hamuwezi kuzuia watu kuabudu au kulazimisha waabudu vile ninyi mnavyotaka.

2. Kama kuna kosa, aadhibiwe Gwajima, ndiye aliongea, sio waumini. Kanisa moja tu Dar es Salaam limekosea yeye amefuta na branches zake zote nchi nzima makanisa zaidi ya 2000, hivi msikiti mmoja ukikosea atafuta misikiti yote nchi nzima au branchez zake nchi nzima? au kwa sababu hili ni kanisa na yeye sio mkristo ndio ameamua kushughulikia wakristo?

3. Waumini wamekosa nini? makanisa mikoani, na hata hapa dsm, na hata pale ubungo, waumini wana kosa gani hata serikali iwazuie kusali?

4. nchi zenye akili zinahamasisha watu wake wamwabudu Mungu, ila samia anafunga makanisa.

5. watu tunajiuliza, ungekuwa msikiti angefunga? au amefunga kwa kuwa ni kanisa?

6. Muislam usiyemjua Mungu wa Israel utamtukanaje Mkristo kuwa ni mtumishi wa shetani?

7. wakatoliki wamekosoa, mbona hawajafutwa hapa Tanzania? au hawajasajiliwa au hawahitaji usajili. sishabikii kwamba wakatoliki washughulikiwe No, ila hoja ni kwamba mbona kuna double standards?

8. samia anafikiri kwa kutukana kanisa na kuhudhuria kwa malasusa atakuwa amejisafisha mbele ya wakristo, aliye karibu naye amshauri, ASITUGAWE WALA KUTULETEA UDINI NCHI HII.

9. samia aliikuta nchi salama haina udini, mshaurini aongoze na aje aiache ikiwa salama vilevile.

10. yote katika yote, sisi wakristo huwa hatupigani kwa majambia, mitutu na mikuki, tunapigana kwenye magoti, kwa maombi, tutamwomba Mungu na hakimu wa kweli atatoa jibu la kinini smaia anazuia waumini wa ufufuo na uzima wasiabudu; kwamba kwa sababu kanisa moja la dsm limekosea basi makanisa yooote nchi nzima 2000 yafungwe, msikiti mmoja ukikosea anaweza kuzuia misikiti mingine nchi yote? au ni kwasababu hili ni kanisa na yeye ni muislam? nia yake ni kufuta ukristo au nini? anafikiri ataweza? kama wayahudi walishindwa ataweza yeye?
 
Watu kama nyie ndio mnaotufanya tuone kama uislamu ni dini ya kulalamika always; Gwajima huyu tumemsahau enzi za JPM? Ilikua kila siku Jumapili lazima watu waingie youtube kuona kaipiga spana gani serikali? Umesahau? Umesahau hadi akabambikiwa kesi ya dawa za kulevya na gavana wa Dar? Umesahau? Rais alikua dini moja na yeye, kabila moja na yeye halafu gavana wa Dar Dini moja na yeye, kabila moja na wanatoka kijiji kimoja na yeye, kinaitwa Kolomije; yote haya tuliyajua enzi za JPM Mkristo tena Msukuma mwenzie; uislamu unaingiaje hapo?
Acheni kudhalilisha dini za watu; kwa maneno yako haya is like unataka kusema uislamu unaruhusu utekaji, uuaji, ufilaji wa mateka maadam anaye promote hayo awe muislam? Is that what you mean? Nonsense, wewe unaweza kua unaijua dini au uislamu kuliko kina sheikh Ponda na wengine wengi wanao muunga mkono Gwajima? Usiingize masuala ya dini hapa or else na wewe utakumbushwa kwamba enzi za JK (muislam)makanisa kadhaa yalichomwa moto, Zanzibar padre alipigwa risasi na kuchomwa moto kanisa la TAG, same as Dar na Moshi, kanisa la Kristo mfalme na sasa tena hali imejirudia, padre Kitima kashambuliwa kwenye makazi na ofisi za maaskofu wa TEC na kanisa la Gwajima kufungwa; je Wakristo nao wahusishe matukio haya na dini ya rais? La hasha, Wakristo hawana upungufu wa akili kama hivi; wapo busy na issues na sio personalities, learn how to behave
 
Vijana wa Kizimkazi bwana, hivi ni lini Gwajima alikuambia kuwa ana chuki na Waislam, wacha kumpandikizia mwenzio kashifa zisizo na sababu. Kwani ni Waislam tu wafugao majini, mbona kuna hata Wakristu wafugao majini japo wananunua kwa Waislam lakini wanafuga. Je, Kikwete alikataa au kukanusha kuwa hafugi majini?
hoja nikwamba alisema au hakusema ?
 
“dini ya Kiislamu ni dini ya uchawi na majini.”
1738521578790.jpg

Ustaadh uchwara na huyu nae ni Gwajima ?
 
Back
Top Bottom