mie watanzania wengine siwaeleqi kabisa
kuwatumikia kama huna moyo wa chuma basi inakua kazi
pamoja na mapungufu yake huyu mkuu, amejitahidi sana katika kuleta UFANISI SERIKALINI, pia kusimamia kwa dhati maendeleo ya taifa lake
suala la ardhi linajulikana vipi alilisimamia, suala la uwajibikaji serikalini vipi alilishughulikia, suali la elimu vp alilishughulikia, suali la maji hadi sasa ndugu zetu kule wanafaidi vp alilishughulikia
kwa kweli kuna mengi ambayo ameyafanya na kuwatumikia wananchi wenzake
ila binaadamu wengine wanaendeshwa na hisia za kichama zaidi kuliko utaifa
mimi nnamkubali sana, ni miongoni mw ma PM waliothubutu, ingawa maamuzi yake mengine sasa yanamgharimu