Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Mtu yeyote asiyeujua umuhimu na utamu wa mwanamke, ANA MATATIZO MAKUBWA SANA!!lol!wanaume wenzio wanaofaidi utamu wa wanawake wakisikia maneno kama haya huwa waagiza mug tu za kilauri wanakata kilaji na nyama choma huku wakimsifu Muumba kwa heri alizowajalia na baraka za kumiliki wanawake wa aina yetu!wapi Kaizer , Asprin, Mtambuzi The Boss, Dark City , HorsePower ,pacha wangu mtoto wa mama yangu SnowBall na wengine woote MNAOJIAMINI NI WANAUME WA UKWELI bila kumsahau mtani wangu watu8, Erickb52, kakaangu moto2012 na mashosti zangu WANAWAKE WA UKWELI gfsonwin, mke mwanzangu wa sirini cacico, FP dadangu uvi koki dada mkubwa? na wengine woote wa mrengo wa kulia
Siku zote natamani ningekuwa mwanaume peke yangu duniani afu Mungu anipe nguvu ya kuwamiliki wanawake wote.....
Chezeya mautamu mwanamke akikupenda na ukamtimizia??
I Stand NOT to be CORRECTED!!:glasses-nerdy: