Kauli hii inanikera, nifanyeje?

Kauli hii inanikera, nifanyeje?

9%=9'-%9% Inaonekana unamlazimisha mwenzako kutumia line hii 0716 xxxxxx
 
Sijapenda kauli yako looh no wonder mkeo anakujibu hivyo una negative attitute towards women.badilika.

May be even them (women) wana negative attitude towards me!

Kiapo changu kanisani ni kumlinda na kumtunza.

Yeye ni kuniheshimu na kunipenda.
 
jamani tuwe wapole tu tusitukanane wala tusifike mbali lakini katika ndoa ndimo kuna matatizo mengi kuliko nje ya ndoa....
 
namhurumia sana huyo mwanamke unayemwita mkeo!ana kazi mfano hakuna!maskini dada wa watu!pole zako mamii popote ulipo!

Tatizo mkiambiwa ukweli mnaanza vibwagizo vya ajabu. Narudia tena wanawake sio watu, sio binadamu, ni hatari kwa maisha ya waume zao.

Nenda Musoma mjini ndo utathibitisha kuwa ninachosema ni sahihi; kuna mtaa mmoja wenye nyumba ni wanawake tu - wote wajane!
 
"Na tumuumbe mtu kwa mfano wetu; akamuumba Adamu." Huyo ndo aliyeumbwa; na wanadamu ni wanaume tu! Wanawake ni nyongeza na ndo maana kwa kiswahili tuna Wana na Mabinti; Wana wakikua huwa WANAUME; mabinti wakiua huwa WANAWAKE!

WAJUA HILO? Ndo maana zamani kwenye sensa wanawake walikuwa hawahesabiwi; ukisasa ndo umeleteleza matatizo yanayotukumba wanaume wa siku hizi.

tangu mwanzo nilisita kuccoment kwenye sred nafc ilikataa japo nilipita mara kadhaa, now i realise why.mtazamo hao ulionao kwa wanawake ndio unaokutesa na like walivyonena wenzangu sion kwann uendelee kuish na watu unaowadharau na kuwaona hawana akil wala thaman kwako! Suit urself stay alone or marry of ur kind.
 
jamani tuwe wapole tu tusitukanane wala tusifike mbali lakini katika ndoa ndimo kuna matatizo mengi kuliko nje ya ndoa....

Ya kwenye ndoa ni mengi mnno. Ukiona ndoa yenye amani ujue kuna mmoja anajifanya f.a.l.a au kafanywa hivyo pasipo yeye kujua.
 
taratibu stand to be corrected, simaaanishi kwamba ati mkikaa darasani mwanaume atafaulu zaidi ya mwanamke la hasha isipokua kwa maswala ya mahusiano aaaah just cote me wrong
 
tangu mwanzo nilisita kuccoment kwenye sred nafc ilikataa japo nilipita mara kadhaa, now i realise why.mtazamo hao ulionao kwa wanawake ndio unaokutesa na like walivyonena wenzangu sion kwann uendelee kuish na watu unaowadharau na kuwaona hawana akil wala thaman kwako! Suit urself stay alone or marry of ur kind.

Shaoa, watoto ninao, hivyo hata nikichukua uamuzi wa kumruhusu asepe sina hasara katika dunia hii; amri ya Mungu ya kuzaa na kuongezeka nimeishaitimiza.
 
Tatizo mkiambiwa ukweli mnaanza vibwagizo vya ajabu. Narudia tena wanawake sio watu, sio binadamu, ni hatari kwa maisha ya waume zao.

Nenda Musoma mjini ndo utathibitisha kuwa ninachosema ni sahihi; kuna mtaa mmoja wenye nyumba ni wanawake tu - wote wajane!

kama si watu si binadam huyo mkeo waish naye ili nn?au yy mwanaume mwenzio? Mfumo dume ndio unaokutesa grow up kwan though wasema umeoa maneno yako yakufanya uonekane kama kijana anayebalehe
 
lazima ufanye utafiti ujue mambo ambayo huwa yanamuudhi kufikia kusema maneno hayo...ndoa hazina formula na kila binadamu yuko tofauti na mwingine.
 
siathani kama ni mwehu mpk aseme tu hivyo!weka sababu nini kinaendelea kati yetu tukusaidie
 
Ya kwenye ndoa ni mengi mnno. Ukiona ndoa yenye amani ujue kuna mmoja anajifanya f.a.l.a au kafanywa hivyo pasipo yeye kujua.

sasa hapo hakuna amani ndugu yangu...tunaona kuna amani kwa nje lakini ingia kwenye ndoa ndio utaona hakuna ndoa yenye amani.....wengi wetu huwa tunajifanya ndoa zetu zinaamani ili kuonesha watu kuwa hatugombani lakini tuiingia chumbani ni mangumi na matusi
 
kama si watu si binadam huyo mkeo waish naye ili nn?au yy mwanaume mwenzio? Mfumo dume ndio unaokutesa grow up kwan though wasema umeoa maneno yako yakufanya uonekane kama kijana anayebalehe

Kifaa cha kuzalisha watoto! Pasuka!
 
sasa hapo hakuna amani ndugu yangu...tunaona kuna amani kwa nje lakini ingia kwenye ndoa ndio utaona hakuna ndoa yenye amani.....wengi wetu huwa tunajifanya ndoa zetu zinaamani ili kuonesha watu kuwa hatugombani lakini tuiingia chumbani ni mangumi na matusi

Umeona eh!!!!
 
MwaJ; kuchart na watu ni obby yangu; kama nimekuudhi naomba unisamehe bibie;
Si kila ulionalo hapa JF linafaa au halifai; naamini yapo mengi ambayo yameandikwa kwenye uzi huu ambayo kwa namna moja ama nyingine yamenijenga na kuwajenga wasomaji wengine. HIYO NDO SABABU KUU.

Wengi tunapenda kuchat lakini hili ni jukwaa la MMU na si Chit Chat ambapo utani na mzaha hutawala. Tatizo wewe unatanguliza dharau tena kwenye jambo ambalo wewe ndio unaomba ushauri. Unategemea nini hapo?
 
Shaoa, watoto ninao, hivyo hata nikichukua uamuzi wa kumruhusu asepe sina hasara katika dunia hii; amri ya Mungu ya kuzaa na kuongezeka nimeishaitimiza.

wewe unasumbululiwa na jambo moja;umeshindwa kumpenda ,kumtunza na kuish kwa akil na mkeo sasa unaumia ukiona wenzio wanafurahia ndoa zao.la kukushaur omba ushaur jinsi ya kuboresha ndoa yake na jifunze kumpenda mkeo kama ubavu wako, huenda hukulelewa ktk mazingira ya upendo so learn 2love her and nt 2dispise hr!
 
Back
Top Bottom