Kauli hii inanikera, nifanyeje?

wanawake ni kama mvua inanyesha sehemu yoyote ile hata kama ni kwenye kinyesi kwa kifupi hata ufanyeje kikubwa ni uvumilivu tu. Nje ya hapo utavunja ndoa, utakuwa na wananwake hata zaidi ya 10 haijarishi umri wao maana ndio walivyo

Wakikusikia watakuua ndg yangu! Nimekusoma!
 
kwa ufupi ni kwamba kuna wifi yake (dada yangu) ndo anam-feed maneno mabovu;
Eti sio chaguo la familia, ni kwa kuwa baba alikuwa ameishatoa kishika uchumba kwa binti mwingine kijijini; nikachomoa na kuoa chaguo langu na kufanya shughuli zote za utoaji mahali mimi mwenyewe!

kama tatizo ndilo hilo hakuna jingine umeshajua wapi pakuanzia vyema mjadiliane na wife na kufikia muafaka utakaoondoa hilo neno na zaidi ili ndoa yenu iweze kudumu
 
inakera kweli, sasa huyu mwananke ana matatizo, kwanza yawezekana anasema hivo kukutisha unajua tena wanawake akili zao ndogo saana, pili yawezekana ni mambo ambayo aliyazoea kuyasema bila kumaanisha, au background ya familia yake wazazi walikua wanatishana mbele ya watoto mambo kama hayo, ila kama hana makosa makubwa ya kumwacha, mpende mtimizie ilyo haki yake, nadhani mtaelewana kwani kupishana kimawazao katika familia ya wawili mbona kawaida, mwanaume pia unakosea, ila maana na msingi kusaeheana wongo jombaaaaaa

Dude are u for real....?
 
whadya think. does t sound pathetic? anyway i was strongly asked to apologise which i did, ati walitofautiana nmi no p
 
Back
Top Bottom