Kauli hii inanikera, nifanyeje?

Kauli hii inanikera, nifanyeje?

snowhite mhhh haya maswali akiweza kuyajibu atajua umuhimu wa ndoa yake na nini kina kasoro katika ndoa yake
nimesoma comment nyingi za wachangiaji kwa kweli kuna mu9da sisi wanaume ni chanzo cha ndoa zetu kuenda mrama kwa sababu ambazo ziko ndani ya uwezo wetu au ambazo tunaweza kuzizuia
ni nadra kwetu kukubali kuwa tuna makosa au kukubali kujishusha
mwanamke hawezi kunyanyuka from nowhere na kuanza kusema kuwa anarudi kwao bila sababu ambayo ina mshiko kuna mahali mwanaume ameenda mrama na akashindwa kuadmit kosa lake au kwa sababu ya ubabe au kwa sababu tuu ni mwanaume na hawezi kujishusha na kujionyesha kuwa ana makosa
ye hayaoni kama yana msingi!
 
hebu hama hapo!
hiki kiburi chako hiki na jeuri ya pesa rafiki yangu havikufikishi popote!hakuna mwanamke kwanza sio mwanamke tu hakuna mtu yeyote anaweza kuvumilia hili!
we kama unaona hela zako na unayomfanyia mkeo kwa kutumia pesa no ya maana basi
chukua noti zako zooote benki kisha zikunje kunje upate kishimo hivi halafu ulale nazo!

hahahahaha mwl snowhite wanaume wanafikiri akishakuwa na pesa anaona hakuna mambo mengine anatakiwa kufanya
 
Last edited by a moderator:
firstlady1 huyu hana hawara wala sijui pombe labda!tatizo lake kibri!mwanaume anaringa na kujisikia ka haendi choo huyu!kha!

sijisikii - ila ka-pombe nagonga tena guiness original nikichanganya na coke ya baridi; sometimes kiti moto, sometimes kanyama ka mbuzi, sometimes mkia wa ng'ombe; kwa ujumla ndo life style yangu ila kwa madem nilishastaafu; nikihitaji mambo fulani ni kwa wife tu basi;
 
tutor b hebu jichunguze labda una makero yanayopita mipaka
maana kauli zingine ni ngumu kutoka mdomoni...nashindwa kuelewa kwanini kila mnapogombana akwambie hivo
inawezekana umejaza vinyumba ndogo na wife anajua
inawezekana kila siku ukirudi home umelewa tilalila usiku wa manane ..

si kihivyo wa kwetu! Taratibu jamani - si unajua tena!
 
Tutor B hapo ndipo unapofanya kosa kudhani kuwa mwanamke anahitaji hayo tuu usafiri, chakula, mahitaji yake ya kawaida ambayo wanakuambia hata kwao yapo na angeweza kuyapata hata akiwa kwao
Suala kubwa ni ile nyama ya ulimi wenyewe wanasema unaongea nae vipi unamtreat vipi, unamhandle vipi mkeo katika suala zima la upendo na mahitaji yake kama mwanamke, unamlinda, unamjali, sio kimwili zaidi kwenye nguo na mavitu kama hayo ila kiupendo kama mke, unamsikiliza hata kama sometime anaongea mambo yanakukera humkatizi maongezi yake, uko tayari kuwa nae hata mbele ya marafiki zao uko proud kuwa nae yaani ni vitu vidogo vidogo sana ila most important kwake

Asante bro Mr Rocky anafikiri kuwa na pesa na kutimiza baadhi ya mambo inatosha kuimarisha ndoa......jaribu kujichungaza kiburi cha pesa hakijengi bali kinabomoa wakati mwingine inaleta madharau.....labda humpi nafasi ya kuonyesha kwamba naye anaweza kuchangia chochote hata kwa mawazo kwenye michakato ya familia kwa jumla na kuimarisha ndoa
 
Last edited by a moderator:
hahahaha Kumbe mwanaume kulinga lol ni sawa aambiwe hayo maneno
Unamringia hata mkeo 😱hwell:

HIvi unawezaje kumlingia mkeo ambaye anakufahamu na kukujua zaidi ya m2 yeyote hapa duniani?

Bajameni nieleweni; ni kwamba hata mtoto wa nje sina, hawala sina, nyumba ndogo sina, na siendekezi mambo hayo hata kidogo kwani ujana ndo nauaga miaka hii; naenda kwenye uzee wa makamo japo mwili wangu unawadanganya walio wengi na kunifikiria kuwa niko under 33
 
Asante bro Mr Rocky anafikiri kuwa na pesa na kutimiza baadhi ya mambo inatosha kuimarisha ndoa......jaribu kujichungaza kiburi cha pesa hakijengi bali kinabomoa wakati mwingine inaleta madharau.....labda humpi nafasi ya kuonyesha kwamba naye anaweza kuchangia chochote hata kwa mawazo kwenye michakato ya familia kwa jumla na kuimarisha ndoa

Sina pesa ila nina maisha standard tu ya kawaida kwa mtanzania asiyekuwa fisadi.
 
sijisikii - ila ka-pombe nagonga tena guiness original nikichanganya na coke ya baridi; sometimes kiti moto, sometimes kanyama ka mbuzi, sometimes mkia wa ng'ombe; kwa ujumla ndo life style yangu ila kwa madem nilishastaafu; nikihitaji mambo fulani ni kwa wife tu basi;

Pole sasa siku mkiwa kwenye good terms
Mwambie wife hiyo kauli yako ya kila siku imenichosha
Ili tuishi kwa amani na kujenga family sitaki kuisikia tena.
tena huku unatania tania ooh mama watoto mtu mzima hatishiwi nyau ati..
 
Lol! after life ? mi nitakua peponi wewe motoni sasa tutaendeleza vipi mautamu ya mahaba

we ushindwe na ulegee, mie nitakuwa peponi nimekaa karibu na jesus nikimpaka marashi na kumfuta miguu yake kwa nywele zangu lol
 
HIvi unawezaje kumlingia mkeo ambaye anakufahamu na kukujua zaidi ya m2 yeyote hapa duniani?

Bajameni nieleweni; ni kwamba hata mtoto wa nje sina, hawala sina, nyumba ndogo sina, na siendekezi mambo hayo hata kidogo kwani ujana ndo nauaga miaka hii; naenda kwenye uzee wa makamo japo mwili wangu unawadanganya walio wengi na kunifikiria kuwa niko under 33
we naye hueleweki ujue!SOMETIMES NO SOMETIMES YES!
sasa kama unayajua yote haya mbona mi sioni sababu ya kulalalmika!mbona una ndoa nzuri tu yenye mke anayekujali na unayempenda,hizi dharau mbofumbofu zinatoka wapi!af umekua unajua?
 
AH!mi ndo nashangaa!kama pesa malia aoe ATM basi!

kuna kaka mmoja alikuwa na vijisenti basi alikuwa hampe nafasi mkewe hata kuchangia jambo linalohusu familia anakuwa katika hali ya utumwa fulani anasubiri mume atoe maamuzi kwa kila jambo ndipo kiburi na madharau yanachukua nafasi. Tutor B IT TAKES A MAN TO CONSTRUCT A HOUSE BUT IT NEEDS A WOMAN TO MAKE A HOME! (snowhite
 
Last edited by a moderator:
Sina pesa ila nina maisha standard tu ya kawaida kwa mtanzania asiyekuwa fisadi.

jaribu kukaa na mkewe ukiwa katika hali ya maelewano upendo umweleze kwamba kauli hiyo huipende anaweza kukueleza kwa nini mara mara anapenda kuitumia na umsikilize kwa umakini bila kumkatiza wakati anaongea au kuonyesha hasira
 
kuna kaka mmoja alikuwa na vijisenti basi alikuwa hampe nafasi mkewe hata kuchangia jambo linalohusu familia anakuwa katika hali ya utumwa fulani anasubiri mume atoe maamuzi kwa kila jambo ndipo kiburi na madharau yanachukua nafasi. Tutor B IT TAKES A MAN TO CONSTRUCT A HOUSE BUT IT NEEDS A WOMAN TO MAKE A HOME! (@Snowhite

yani ni raha mfano hakuna sasa huyu anamaliza kujenga nyumba halafu hampi nafasi mkewe kutengeneza nyumbani!hapo ndo matokeo yake huwa hivi!
 
Pole sasa siku mkiwa kwenye good terms
Mwambie wife hiyo kauli yako ya kila siku imenichosha
Ili tuishi kwa amani na kujenga family sitaki kuisikia tena.
tena huku unatania tania ooh mama watoto mtu mzima hatishiwi nyau ati..
Haya Baby!
 
we ushindwe na ulegee, mie nitakuwa peponi nimekaa karibu na jesus nikimpaka marashi na kumfuta miguu yake kwa nywele zangu lol
Kwani wewe ndio Yule kaha** aliempaka mafuta ? Uje mie ndio nilikua NUHU Enzi izo ww ndio ukawa Yule kaha** unahatari wewe mrembooooo....
 
jaribu kukaa na mkewe ukiwa katika hali ya maelewano upendo umweleze kwamba kauli hiyo huipende anaweza kukueleza kwa nini mara mara anapenda kuitumia na umsikilize kwa umakini bila kumkatiza wakati anaongea au kuonyesha hasira

Naenda sasa hivi; majibu kesho nitayaweka hapa hapa.
 
kuna kaka mmoja alikuwa na vijisenti basi alikuwa hampe nafasi mkewe hata kuchangia jambo linalohusu familia anakuwa katika hali ya utumwa fulani anasubiri mume atoe maamuzi kwa kila jambo ndipo kiburi na madharau yanachukua nafasi. Tutor B IT TAKES A MAN TO CONSTRUCT A HOUSE BUT IT NEEDS A WOMAN TO MAKE A HOME! (@Snowhite

wabejha bajameni
 
Back
Top Bottom