Tutor B hapo ndipo unapofanya kosa kudhani kuwa mwanamke anahitaji hayo tuu usafiri, chakula, mahitaji yake ya kawaida ambayo wanakuambia hata kwao yapo na angeweza kuyapata hata akiwa kwao
Suala kubwa ni ile nyama ya ulimi wenyewe wanasema unaongea nae vipi unamtreat vipi, unamhandle vipi mkeo katika suala zima la upendo na mahitaji yake kama mwanamke, unamlinda, unamjali, sio kimwili zaidi kwenye nguo na mavitu kama hayo ila kiupendo kama mke, unamsikiliza hata kama sometime anaongea mambo yanakukera humkatizi maongezi yake, uko tayari kuwa nae hata mbele ya marafiki zao uko proud kuwa nae yaani ni vitu vidogo vidogo sana ila most important kwake