Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Katika utafiti wangu nimegundua kuwa kuna maneno ambayo asilimia kubwa ya Wanawake wanapendelea sana kuwaambia Wanaume.
Nitataja Baadhi….
1 Kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...sasa unaniona sina maana tena.
2- Wewe unataka kunichezea tu. Hauna malengo na mimi
3- Ni kipi hasa kinachokufanya uniringie?
4- Nataka unipe pesa leo, lazima nisolve hii problem leo siwezi kusubiri kesho.
5- Wakati ulipokuwa hauko na mimi ulikuwa ukimmega nani?
6-Katika Wanaume na wewe Mwanamme? Una nini hasa cha kunishtua?
7- ……………………………………………… Endeleza List