Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
MMU NIAJEEE?!....
BIYEEE?!............
mliwasiiimaaaaa?!....
Mimi nimekuja hapa jamvini kuwaomba tukumbushane ''usanii'' wa wapenzi wetu enzii hiizooooooooooo...!kuna tumaneno twa kisanii sanii wanawake hupenda sana kututumia pindi wanapokuwa kwenye mapenzi na wanaume wao..na hasa hasa kama wameshakutana kimwili.Mi nimezeeka kidogo sasa lakini nimetukumbuka hutu tuneno nikaona nituweke hapa jamvini kwa minajili ya:
sasa bila kupoteza muda naweka hizi kauli ''mtambuka'' za wanawake pindi wakishazama ''mapenzini''
8.WAZEE WENZANGU MPOO?...TUNAWEZA KUENDELEZA LIST HAPA?
au kuna nyingine...
BIYEEE?!............
mliwasiiimaaaaa?!....
Mimi nimekuja hapa jamvini kuwaomba tukumbushane ''usanii'' wa wapenzi wetu enzii hiizooooooooooo...!kuna tumaneno twa kisanii sanii wanawake hupenda sana kututumia pindi wanapokuwa kwenye mapenzi na wanaume wao..na hasa hasa kama wameshakutana kimwili.Mi nimezeeka kidogo sasa lakini nimetukumbuka hutu tuneno nikaona nituweke hapa jamvini kwa minajili ya:
- kukumbushana/kucheka kidogo
- kuwaomba dada zetu mseme ni kwanin mlikuwa mnatufanyia usanii huu?
- na labda pengine vijana wa sasa kuna maneno mengine ya kijanja janja ambayo kizazi hichi cha mkonga kimeyavumbua kwa ito na sisi mtueleweshe
sasa bila kupoteza muda naweka hizi kauli ''mtambuka'' za wanawake pindi wakishazama ''mapenzini''
1. Kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...sasa unaniona sina maana tena.
2. Wewe unataka kunichezea tu. Hauna malengo na mimi
2. Wewe unataka kunichezea tu. Hauna malengo na mimi
3. Sina boyfriend ila cpo tayr kuwa na ww kwa sasa
4. Nataka unipe pesa leo, lazima nisolve hii problem leo siwezi kusubiri kesho.
5. Baby halafu kuna kitu nataka kukwambia! au ah ah mmh eeh aah lakini basi.
6. Katika Wanaume na wewe Mwanamme?
7. Mwanaume mzima unabeep, mi ntafanyaje sasa?
5. Baby halafu kuna kitu nataka kukwambia! au ah ah mmh eeh aah lakini basi.
6. Katika Wanaume na wewe Mwanamme?
7. Mwanaume mzima unabeep, mi ntafanyaje sasa?
8.WAZEE WENZANGU MPOO?...TUNAWEZA KUENDELEZA LIST HAPA?
au kuna nyingine...
9.Unaniona Mi malaya Kwa Vile Nimekuvulia Wewe
10. Mi Sijakupendea Pesa Nimekupenda wewe KaMA wEWE
HAHAHAHAHA!...
lakini ninyi wakinadada ninyiii....??
kwanin lakini?!
NICE LUNCH WAJAMENI...!
KARIBU TUKUMBUSHANE ENZI HIZO
10. Mi Sijakupendea Pesa Nimekupenda wewe KaMA wEWE
HAHAHAHAHA!...
lakini ninyi wakinadada ninyiii....??
kwanin lakini?!
NICE LUNCH WAJAMENI...!
KARIBU TUKUMBUSHANE ENZI HIZO