PJ hapa nimecheka kwa loud speaker lol,Mwanaume mzima unabeep, mi ntafanyaje sasa?
Kutwa kucha napanda daladala mie, gari mwanaume huna, nyumba yenyewe ya kupanga tu lakini unavyokoroma usiku hata haya huna! Hela za kubadili mboga tu shida, looh mbona wantesa? Basi useme kunako majamboz wanpagawisha mtu mwenyewe una kibamia, looh!Kweli nimekuchoka!
Mkuu hapo blue lolz..........mpenzi wangu yuko marekani/ulaya anasoma!
......haiwezekani mtu mzima kama wewe uwe hauna mtoto/mke/mpenzi (ajabu ukimuangalia mwenyewe hana tofauti na Bi Kidude kiumri!).
......mpenzi wangu yuko marekani/ulaya anasoma!
......haiwezekani mtu mzima kama wewe uwe hauna mtoto/mke/mpenzi (ajabu ukimuangalia mwenyewe hana tofauti na Bi Kidude kiumri!).
umesema kweli........
nyingine....Mwanamme utakuwa wewe?? Wanaume wana Ma Benzi na majumba mazuri
baby halafu kuna kitu nataka kukwambia! au ah ah mmh eeh aah lakini basi.Ukisikia hivyo tu na wewe ipotezee fasta bz ukijifanya kubembeleza akwambie ujue ni mwiba huo.
Mwanaume gani wewe..mwanaume suruali..hata nanii yako ndogo..tena nimesema unikome.!