Umemaliza kazi,jibu safi! hatuwezi kuua watu kwa ajili ya upuuzi wa SGR etcNa upande wa pili mpango mzima ni kuteka, kutesa na kuua wapinzani ili kufyekelea mbali upinzani yaani Bokoharam anasubiri.
View attachment 1107234
Umemaliza kazi,jibu safi! hatuwezi kuua watu kwa ajili ya upuuzi wa SGR etcNa upande wa pili mpango mzima ni kuteka, kutesa na kuua wapinzani ili kufyekelea mbali upinzani yaani Bokoharam anasubiri.
View attachment 1107234
Matiko mrembo zaidiWote naonaga ni warembo, hivyo inanichanganya kuwatofautisha.
Matiko mrembo zaidi
Basi nitakuwa natumia hiyo formula kuwatofautisha.
Kwa hiyo mmempuuza mleta mada, badala ya kujadili mazuri aliyoleta mnajadili urembo wa Matiko na Bulaya?
Anyway, ukiona watu wanajadili D na C wakati wewe umeweka A mezani ijadiliwe ujue ulichoweka kina walakini.
Esther BulayaYule mwenye miwani nyuma ya Mbowe ni nani?
Makutano.ya nyu.mbu
Ndiyo, sasa hapo nauliza huyo niMatiko auBulaya?
Inasemekana hapo mwanamke ni mmoja tuu.Nadhani ndio huyo nilikuwa namuulizia, wanawake wapo wawili tu hapo..huyo mwingine ni Halima
OkInasemekana hapo mwanamke ni mmoja tuu.