Hakika!Sawa acha na sisi tulambe asali mwishowe tutakula keki ya taifa
Tanzania Upinzani wa ukweli ulikua kipindi kile cha Mkapa na Mrema! Baada ya hapo Upinzani umebaki kama kituko tu!!!Mama samia anaumaliza upinzania kwa akili sana na sio nguvu tena
Hizo ni hela alizofisadi za ati kumlipa Mafao hewa Tundu Lissu zinawatokea CDM puani ati wana mihemkoKatuni ya msanii Marco Tibasima ikielezea yanayojiri kwenye ulingo wa siasa Tanzania....
Je una maoni gani?View attachment 2250912
Wanalamba maviWakati Chadema wanalamba asali, Mataga na Suukumagang wanalamba nini?
Cha msingi asaliVijiko vijavyo vitakua na nyuki fulani