Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Ni aibu had I Leo kuna watu wanaamini wakatoliki tunaabudu sanamu, nimeshajibu sana hii hoja lakini naona hamuishi, nilitaka nikupuuze lakini nikujibu japo kwa ufupi tu, sanamu hazijakatazwa na Mungu in fact ukisoma bibilia sawasawa utakuta Mungu mwenyewe sehemu kibao ANAAMRISHA zitengenezwe mfano:
Kutoka 25: 18-20-
Nawe utafanya makerubi wawili wa dhahabu. Utawafanya kwa kazi ya kufua kwenye miisho miwili ya kifuniko.+ 19 Na ufanye kerubi mmoja mwisho huu na kerubi mmoja mwisho ule.+ Juu ya kifuniko mtawafanya makerubi hao kwenye miisho yake miwili. 20 Na makerubi hao watakuwa wamenyoosha mabawa yao kuelekea juu, wakifunika kifuniko hicho kwa mabawa yao, nyuso zao zikielekeana.+ Nyuso za makerubi hao zitaelekea kifuniko.
Au wakati kulikuwa na nyoka wakali wenye sumu Mungu alimuamuru Musa atengeneze sanamu mfano wa nyoka soma Hesabu 21: 8-9:-
Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Jifanyie nyoka mkali na kumweka juu ya nguzo ya ishara. Na itatukia kwamba wakati mtu yeyote ameumwa, basi atamtazama na hivyo ataendelea kuwa hai.”+ 9 Mara moja Musa akafanya nyoka wa shaba+ na kumweka juu ya nguzo ya ishara;+ na ikawa kwamba nyoka alipomuuma mtu naye akamtazama+ yule nyoka wa shaba, ndipo alipoendelea kuwa hai.+
Zipo sehemu nyingi tu kasome na Ezekiel 41: 17-18. Na
Kumbe wakatoliki nao wanalifuata agano la kale? Nilidhani wakatoliki wao ni agano jipya tu.
 
Kwa hiyo Mungu alipoamrisha masanamu hayo alisema myaabudu?
Na sanamu la Bikira Maria limeandikwa wapi katika maandiko hayo uliyotoa?
Malyenge mbona unapenda kumuaibisha muham mad aliye kuagiza kwamba muwalinganie watu deen kwa mawaidha meme...mbona unazidi kumwaga kebehi, matusi...huoni kwamba unambishia mungu wako yeye zwazwa wewe ndiye mjuzi
 
Umesema hamuabudu masanam? Na lile mnalolipigiaga magoti asubuhi na saa sita mchana na saa kumi na mbili jioni huwa ni linini? Na huwa mnaposema mnaliomba msamaha wakati mkiwa mmepiga magoti huwa kumbe mnaigiza.....?
Hii
5f552d66667398f8c12fb752e42b7df3.jpg
mnayo busu/Kula denda iliyo kaa mithili ya yake ni hajri mnaabudu au mnafanyaje
Mtu amesha kujibu yeye haabudu sanamu wewe kwa ujinga wako unamkalia kooni na Kulazimisha unaabudu sanamu
 
Kanisa Katolike ni Kasa la Majeshi, kama Mungu aitwavyo Mungu wa Majeshi. Katika Historia ya kanisa katoliki, vita vilishawahi kuanzishwa na viongozi wake. Pia amani ilishalindwa na viongozi wa kanisa katoliki. Hata kwa nyakati tulizonazo ni ukweli usiopingika kuwa Kanisa katoliki limehifadhi amani ya dunia. Bila uongozi dhabiti wa kanisa katoliki amani ya dunia ingekuwa imetikiswa vibaya kuliko ilivyotikiswa na vita vikuu vya dunia. Kiongozi wa kaniza Papa Mtakatifu ana nguvu nyingi na ambazo wengi hawazifahamu, zingine zikiwa ni siri kuu.

Mbali na yaho kanisa katoliki ndilo pioneer mkubwa wa elimu na afya duniani. Kanisa katoliki kwa enzi na enzi limekuwa likitoa elimu kwa jamii, tena elimu bora kabisa. Limejenga mashule na vyuo. shule zingine zilikabidhiwa kwa serikali za nchi husika. Pia Kanisa katoliki limesaidia katiaka huduma za kijamii hasa afya kila lilipopita. zahanati na hospitali nyingi zilijengwa na kanisa, na hadi leo kuna hostpitali na zahanati zinazotoa huduma nzuri na za kutegemewa, zote zimejengwa na kanisa katoliki. Mengine ni maji, na barabara kwa baadhi ya maeneo.

Historia inalibeba kanisa hili. Ni kanisa la kwanza kabisa kuasisiwa na jamii ya kikristo ilyoanzishwa miaka takribani 50 baada ya Yesu kuzaliwa. Mtume Petro ndiye kiongozi wake mkuu wa kwanza. Alikuwa Papa wa kanisa katoliki baada ya kufika Roma na kuliasisi kanisa kama Yesu alivyomuahidi. Makanisa yote ya kikristo yameanzia katika kanisa katoliki baada ya kuasi na mengine kujitenga.

Kanisa Katoliki ndio kanisa kongwe zaidi duniani. Kila mtu analionea husuda zaidi ya anavyoonea husuda dini yake.
Huu ni uongo, msidanganywe kama wasio na akili. Ombeni maarifa kutoka kwa alie juu.
 
Malyenge mbona unapenda kumuaibisha muham mad aliye kuagiza kwamba muwalinganie watu deen kwa mawaidha meme...mbona unazidi kumwaga kebehi, matusi...huoni kwamba unambishia mungu wako yeye zwazwa wewe ndiye mjuzi
Tangu lini umeanza kumkubali Muhammad?
 
Hii
5f552d66667398f8c12fb752e42b7df3.jpg
mnayo busu/Kula denda iliyo kaa mithili ya yake ni hajri mnaabudu au mnafanyaje
Mtu amesha kujibu yeye haabudu sanamu wewe kwa ujinga wako unamkalia kooni na Kulazimisha unaabudu sanamu
Analiabudu linasamu la bikira maria. Acha ubishi!
 
Umesema hamuabudu masanam? Na lile mnalolipigiaga magoti asubuhi na saa sita mchana na saa kumi na mbili jioni huwa ni linini? Na huwa mnaposema mnaliomba msamaha wakati mkiwa mmepiga magoti huwa kumbe mnaigiza.....?
Tatizo Ata hamjui mnachokipinga, SAA 6 , SAA 12 jioni? Hiyo ibada inaitwaje? Hivi unajiskiaje kuropoka uongo alafu unajiona upo right kabisa! Kama kitu hukijui siyo lazima utungetunge tu upuuzi, sisi huwa mfano sanamu ya labda Bikira Maria tunainama kwa heshima ya yule mama siyo kwa sababu ya sanamu! Kwani we picha ya mwanafamilia au mtu wa karibu ukiiangalia nini kinakuja akilini kwako? Je wajapan wakisalimiana wanainamisha vichwa wanaabudiana? Alafu koma kusingizia eti SAA sita na SAA 12 nikikuuliza hiyo ibada inaitwaje? Huna majibu. Fear of the unknown, acha kuchukia ukatoliki ambao huujui Ata chembe, unadhanidhani tu na kutunga uongo shetani wakubwa nyie. Mimi mkatoliki mzuri sana hakuna kitu kama hicho, na hakuna mkatoliki eti anasema tunaliomba msamaha? Unaudhi had I basi acha.
 
Analiabudu linasamu la bikira maria. Acha ubishi!

Kweli wazimu ni taaluma... Ulijibiwa kwamba hiyo ni sanamu tu haiabudiwi dogo...jibu ulilonipa hadi nikacheka eti kwani hao wanaabudu sanamu ya Bikira Maria kwa hiyo kuabudia kwa kubusu jiwe lililo mithili ya chura ya bi hajiri ni sawa kwako Sisi Wakristo Tumefundishwa IBADA YA SANAMU Hii HAPA Kolosai 3:5 Ndio tunakataa katu piga UA galagaza hakuna anaye abudu sanamu..Mwenyezi Tunae Muabudu na sifa zake Tunazijua na sanamu tunaijua ni sanamu haina hata dhara...hivyo wewe Malyenge na wasabato mmeingia kwenye dhambi ya kusema Uongo mmesha jihukumu wenyewe kwa kukosa maarifa...
 
Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!

Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!

Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!

Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!

Kuwa katika hilo dhehebu lenye sifa za kumwaga kama hizi linakupa free ticket ya kwenda mbinguni?
 
Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!

Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!

Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!

Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
Ndio,ni zaidi ya dini,ni Cult.
 
Nakukaanga kwa mafuta yako...
Yaani katika watu mabwege wewe unaongoza. Ni msukule uliyechukuliwa na wachawi wa sumbawanga maana hujielewi kabisa. Sijue ni hanithi au tukuite hudindishi kabisa? Huna akili zinazojitablmbua kabisa.....
 
Kuwa katika hilo dhehebu lenye sifa za kumwaga kama hizi linakupa free ticket ya kwenda mbinguni?
Siyo dhehebu ni kanisa. N yes salvation is granted upon the church Christ established, the catholic church, though nyie waporotestanti sisi kwetu ni wayward catholics.
 
Yaani katika watu mabwege wewe unaongoza. Ni msukule uliyechukuliwa na wachawi wa sumbawanga maana hujielewi kabisa. Sijue ni hanithi au tukuite hudindishi kabisa? Huna akili zinazojitablmbua kabisa.....
Imekuwa Hayo mkubwa yaani kukujibu kwamba Mimi siiamini koloani ilaha naitumia kukukaanga kwa mafuta yako, kama nimekunawa hadi subra imekuishia unanitangazia mbovu kama huna ngozi ngumu sepa huku hakukufai dogo au unatukumbusha muham mad alipologwa na Yahudi
453771371ae2d012791dcff92afd5635.jpg
jifunze kuwa mvumilivu wa deen/Imani za wengine...
 
Imekuwa Hayo mkubwa yaani kukujibu kwamba Mimi siiamini koloani ilaha naitumia kukukaanga kwa mafuta yako, kama nimekunawa hadi subra imekuishia unanitangazia mbovu kama huna ngozi ngumu sepa huku hakukufai dogo au unatukumbusha muham mad alipologwa na Yahudi
453771371ae2d012791dcff92afd5635.jpg
jifunze kuwa mvumilivu wa deen/Imani za wengine...
Wewe utakuwa hujatahiriwa......
 
Ukinipa ayat abdul qathem ametahiriwa nyama ya govi lake njoo unisilimishe...unajaa jaa ghazab kama &%$#
Unauliza habari za kutahiriwa mwanaune mwenzio za nini? Unataka aje akushughulikie nini?
 
Back
Top Bottom