Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Pole malyenge kama nimekukwaza [emoji120] najua mchana huu karibu kigogo sambusa upate [emoji117]
a9dcf7c6c7e95d40904f9af95a3349a7.jpg
ushushie na [emoji117]
0aba480b96014c9d5fc130db184ceab1.jpg
unaona kanavyotoa jasho? [emoji39] [emoji4]
Mbali huko wapendwa!
 
Na kama wapo mapadri wanasayansi si watoke ili wawe huru na kazi yao? Dunia inawataka kwa nini wanajificha kwenye Bible? Ndio maana waseminari waliokua na uwezo wa sayansi waliachia form six na sasa ni wanasayansi wazuri. Waliachana na vitu ambavyo havina majibu.
Ni wito wao kumtumikia Mungu kwa namna anavyowajalia na si kwa jinsi unavyopenda wewe. Ujue kwamba mambo mengi mazuri yanafanyika kwa sababu ya kazi nzuri ya wanasayansi (na wale wote wanaochangia kuifanya dunia yetu iwe mahali salama zaidi).
 
Ndio Dhehebu Pekee la kikristo Tajiri Duniani!
Ndio Dhehebu pekee Lenye Misimamo isiyo yumba duniani.
Ndio Dhehebu pekee lenye Kesi Nyingi za Ulawiti Duniani
Kanisa Katoliki ni Taasisi Kubwa Duniani Hilo halina Ubishi.

Mhu, ni wivu tu huo!
 
Pole wewe uliyefiwa na Mungu. Sijui matanga yake waliposoma walimwomba Mungu yupi ili aiweke roho ya marehemu Mungu pema peponi?
Kisilamu silamu hilo jibu umepatia Mkuu [emoji106] eti Malyenge kule bonde la Tuwa allah alipogeuka kama chaka linalo waka na kuongea na Musa dunia alikuwa anaiongoza nani?
 
Kisilamu silamu hilo jibu umepatia Mkuu [emoji106] eti Malyenge kule bonde la Tuwa allah alipogeuka kama chaka linalo waka na kuongea na Musa dunia alikuwa anaiongoza nani?
Jibu kwanza Mungu wenu alivyokufa akaacha wanadamu duniani hawana Mungu ilikuwaje?
 
Na wakasema(Mayahudi kuwaambia Waislamu):"Kuweni Mayahudi(mtaongoka)"(Na wakasemaManasara nao kuwaambia Waislamu):Au kuweni Wakristo mtaongoka."Sema: bali tunashika mila ya Ibrahimu aliyewacha dini za upotofu akashika Dini ya haki, wala hakuwa (kabisa)Katika washirikia"
 
Hivi ulishajiuliza kabla ya kuanza kwa dhehebu lako biblia ilikuwa mikononi mwa nani? Je Mungu ni mjinga kiasi cha kuhifadhi neno lake kwa adui yake?
Yaani Mungu akabidhi neno lake shetani alilinde,alitunze na alieneze,
Au Mungu aruhusu shetani ateke neno lake,
 
Pia ndo dhehebu pekee lenye hisa katika kampuni ya bereta.
 
Lkn,unayo habari hata ndani ya MOSSAD Katoliki ipo?!
Kikubwa ambacho nilisahau kukukumbusha. MOSSAD ni intelijensia ya nchi ya Israel: Inalinda maslahi ya Wayahudi wa Israel hivyo ni chombo cha kisiasa kilichoanzishwa baada ya taifa la Israel kuzaliwa.

Chombo kinacholinda Wayahudi wote duniani siyo MOSSAD kama tulivyoaminishwa. MOSSAS imekuja baada ya mwaka 1948 lakini hapa naongelea kile chombo ambacho kiliunda MUUNGANIKO WA WAZAYUNI chini ya Theodor Hertz miaka ya 1800's.

Kile ambacho kiliwahujumu Wajerumani kwenye vita zote za dunia: Kile ambacho kilipika baadhi ya taarifa za mauaji ya Halaiki ya Auschwitz: Kile ambacho kilishawishi dunia ikubali kuunda taifa la Israel mwaka 1948: Kile ambacho kimeushikilia Uchumi wa Marekani.

Soma historia utajua kwamba siyo MOSSAD, KIDON, SHINBET wala nini.
Halafu baada ya kukijua kilinganishe na Jesuits au Kanisa
 
Back
Top Bottom