Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Huyo Dada Nampa pole, hakujua kua c kila mwanaume anafaa kuwa mme.. Wengine magume dume. Huyo Dada ni mjenz mwema, angekua nyang'au angetoa mimba na kuendelea na mambo yake. Ila kwakua analenga kujenga Familia Ana hofu ya MUNGU ndo maana hakutoa mimba. Ila mti alioutumainia sasa.. Duhhhhhhhhhhh mpapai mkavu wakati wa mvua

Sent using Jamii Forums mobile app
Itaji lake lilikuwa kubebeshwa mimba na kujikataa sio vingnevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo hili lilinitokea mwaka 2009 kwenda 2010 nilikutana na dada fulani mjini, mambo ya ujana nikakwichikwichi nilikuwa likizo tu nchini, baada kuondoka kama mwezi ananiambia mjamzito duh, sikupanic nikamuuliza watakaje!? Yeye akasema hataki kuzaa na anataka pesa achoropoe, Bila kinyongo nikamtumia pesa, baada ya miezi kama 4 ananiambia ameakhirisha kutoa anataka kuzaa, dah japo sikupenda nikajikaza tu, akajifungua mtoto wa kike akanitumia picha, alikuwa mrembo sana mtoto, mpk hapo Nampa huduma zote, na nilikuwa na mtoto mmoja wa kiume, baadae akaolewa alipofika miaka 5 akakubali kunipa nikamchukua nashukuru mke wangu nilimjulisha mapema kabla sijamuowa, hata nilipomleta home hapakuwa na shida, mke wangu akajifungua wa kiume pia, kwahiyo wa kike ni yeye tu, na ndio mtoto kipenzi hata kwa wife, huwa nikimtazama nakumbuka uamuzi ule naumia sana, mpaka sasa itokee nimecheza rafu nje sishauri kutoa azae tu
 
Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja atmae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba). Alirudi kwao tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakin aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaon utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 uku nilikuwa nisham-delete akilini. Nimempokea na cjamfunua k yake tangu aje, na mimba ajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hujaomba ushauri humu ulipima uzito Wa swali lako au unatafuta utukanwe uone watu wabaya kwanza naomba sheria yakutoa mimba ikuhusu pia ulipomlala ulijua unampaka cream uyo Dada anaakili zake sawa hawezi kuishiriki zambi yako eti nilimtongoza Mtandaoni so what kwani sio mwanamke acha zarau uyo ni mwanamke wako unajiona ulivokuwa ovyo baada ya kumwambia atoe mimba eti nikapotezana nae miez4 nikamdelete ulimuona yechiz bigup kwauyo mwanamke yaani uyo ndio mwanamke anajitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo hili lilinitokea mwaka 2009 kwenda 2010 nilikutana na dada fulani mjini, mambo ya ujana nikakwichikwichi nilikuwa likizo tu nchini, baada kuondoka kama mwezi ananiambia mjamzito duh, sikupanic nikamuuliza watakaje!? Yeye akasema hataki kuzaa na anataka pesa achoropoe, Bila kinyongo nikamtumia pesa, baada ya miezi kama 4 ananiambia ameakhirisha kutoa anataka kuzaa, dah japo sikupenda nikajikaza tu, akajifungua mtoto wa kike akanitumia picha, alikuwa mrembo sana mtoto, mpk hapo Nampa huduma zote, na nilikuwa na mtoto mmoja wa kiume, baadae akaolewa alipofika miaka 5 akakubali kunipa nikamchukua nashukuru mke wangu nilimjulisha mapema kabla sijamuowa, hata nilipomleta home hapakuwa na shida, mke wangu akajifungua wa kiume pia, kwahiyo wa kike ni yeye tu, na ndio mtoto kipenzi hata kwa wife, huwa nikimtazama nakumbuka uamuzi ule naumia sana, mpaka sasa itokee nimecheza rafu nje sishauri kutoa azae tu
Thank you for real testimony

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujaomba ushauri humu ulipima uzito Wa swali lako au unatafuta utukanwe uone watu wabaya kwanza naomba sheria yakutoa mimba ikuhusu pia ulipomlala ulijua unampaka cream uyo Dada anaakili zake sawa hawezi kuishiriki zambi yako eti nilimtongoza Mtandaoni so what kwani sio mwanamke acha zarau uyo ni mwanamke wako unajiona ulivokuwa ovyo baada ya kumwambia atoe mimba eti nikapotezana nae miez4 nikamdelete ulimuona yechiz bigup kwauyo mwanamke yaani uyo ndio mwanamke anajitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
Remember, hii imefupishwa. Na unavyotoa thread aiwez ikawafanana vle unavyotaka we, alihitaji mimba tu, ishu ya kutoa was a part of her decision ya kukiuka the agreement but more good mimba IPO, kwann sasa alazmshe kuishi nami. Discuss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom