Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Hii ndio shida ya baadhi ya wanaume mnapoliona jambo jepesi sana pale mnapowapa wenza wenu na kuwaambia wazitoe.

Kafanya vizuri huyo dada kutoitoa hiyo mimba. Sioni haja ya kutaka asepe wakati ana kiumbe tumboni. Tulizana naye kwa kweli hakuna jinsi
 
Una nyota ya uuaji na roho ya umasikini...


I assure you Hugo mwanamke anakupenda sana ..yaaan daaahhh wengine upendo km huo ndo tunautafuta .
 
Mpokee uishi naye kwa mwezi mmoja mwingine huku unafikiria nini cha kufanya. Huenda akawa mkeo na mama bora kwa wanao.
 
Mmhh jamani mpaka nmekosa cha kukushauri
Mpaka ukaeka news alert
 
Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja atmae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba). Alirudi kwao tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakin aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaon utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 uku nilikuwa nisham-delete akilini. Nimempokea na cjamfunua k yake tangu aje, na mimba ajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamatatizo, mwanzo mbona ulimfunua iyo unayosema sijui et K kwa nn sasa iv?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom