Comeback
Senior Member
- Apr 26, 2015
- 164
- 64
Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja hatimae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba).
Alirudi kwao Tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakini aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaoni utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 huku nilikuwa nisham-delete akilini.
Nimempokea na sijamfunua k yake tangu aje na mimba hajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja hatimae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba).
Alirudi kwao Tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakini aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaoni utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 huku nilikuwa nisham-delete akilini.
Nimempokea na sijamfunua k yake tangu aje na mimba hajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?
Sent using Jamii Forums mobile app