Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Comeback

Senior Member
Joined
Apr 26, 2015
Posts
164
Reaction score
64
Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja hatimae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba).

Alirudi kwao Tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakini aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaoni utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 huku nilikuwa nisham-delete akilini.

Nimempokea na sijamfunua k yake tangu aje na mimba hajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho yako sii nzuri mungu hapendi kabisa uuwaji yeye huyo dada mungu amlinde sii muuaji ndio maana acha kuwa (serial killer) imajini wewe unavyofurahia maisha mamaako angekutoa? Huyo tumboni ni binadamu ana roho kama wewe anapenda maisha kama wewe dawa yako siku ukioa mkeo awe mchepukaji akuletee mimba za wanaume wenzio ndani maisha haya ni mafupi sana usiue wenzio
 
Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja atmae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba). Alirudi kwao tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakin aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaon utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 uku nilikuwa nisham-delete akilini. Nimempokea na cjamfunua k yake tangu aje, na mimba ajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ukataa mavuno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kukimbia majukumuu jomba!? Wakati unamgegeda ulikua unasikia raha kweli kuona binti wa watu akikata mauno, sasa tulia lea huyo mwanamke na kiumbe chako tumboni..
 
Roho yako sii nzuri mungu hapendi kabisa uuwaji yeye huyo dada mungu amlinde sii muuaji ndio maana acha kuwa (serial killer) imajini wewe unavyofurahia maisha mamaako angekutoa? Huyo tumboni ni binadamu ana roho kama wewe anapenda maisha kama wewe dawa yako siku ukioa mkeo awe mchepukaji akuletee mimba za wanaume wenzio ndani maisha haya ni mafupi sana usiue wenzio
Yawezekana iko hvyo kwa idea yako sio mbaya but huyu demu sio wa kuishinae yani it seems prosit**

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lea mimba acha utoto, ndiyo nyie mnaowafanya wanaume wote waonekane hawana maana.
 
Back
Top Bottom