motonkafu
JF-Expert Member
- Dec 2, 2015
- 1,019
- 710
basi hudumia mimba na mtoto
Heeeee kumbe na kajifungua aiseeee.........kwanza kwenda kwa mtu bila taarifa ni tabia mbaya sanaKikubwa alikubali kuibeba na kujifungua pasipo kunitegemea, ata angekuwa anahitaj Huduma ningemtumia na sio kujileta tena bila information
Sent using Jamii Forums mobile app
Tufanye sina akili ila kwenda kwa mtu bila taarifa ni ujinga wa hali ya juu mbaya zaidi na mimba juu........kuna wasichana ving'ang'anizi sanaKweli!? Sikutegemea wazo kama hili lingetoka kwa binadam aliyetimamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay
Na wewe ukapiga kavu baada ya kuletewa kweli? Sasa ndio ujue vya bure ghali?
Baada ya kufanyiwa vipimo vyote muhim vya kiafyaNa wewe ukapiga kavu baada ya kuletewa kweli? Sasa ndio ujue vya bure ghali?
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwenyewe unapingwa, unaendaje kwa MTU paspo taarifa?Mpaka wanaume wenzio wanakupinga aiseeee badilika ebu chukulia ni ndugu yako afanyiwe hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
OohHama nyumba kimya kimya....jifanye umesafiri kikazi kumbe umehama nyumba na mtaa kubali kuingia gharama....unamuacha bila chakula ataondoka mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app