Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Kama ulijua jina future na ungetumia kinga, amejitafakari na ameamua kutokuua kiumbe. Kama humtaki katika maisha yako msaidie tu ajifungue atampata wa jumuia huko mbele na mwanao kulelewa na baba wa kambo
 
Mzee mbabaa jiandae kulea acha kukimbia majukumu wakati unagugumiaa oooooh yeeehh isssssahhhhh bby kataaa ivyo ivyooo[emoji23][emoji23]ulikuwa unazani umeingiza kwenye toy la kichina au, pambana master, ulitengeneza mzinga mwenyewe sasa mbona waogopa nyuki.

driller⛏⚒
 
Si ndoa zote wanaoana kwa mapenzi mambo kama hayo hufanya watu waoane bkuepusha mateso kwa vwatoto
 
Hii ndio shida ya baadhi ya wanaume mnapoliona jambo jepesi sana pale mnapowapa wenza wenu na kuwaambia wazitoe.

Kafanya vizuri huyo dada kutoitoa hiyo mimba. Sioni haja ya kutaka asepe wakati ana kiumbe tumboni. Tulizana naye kwa kweli hakuna jinsi
Nothing impossible that's why nimepost, makubaliano yalikuwa kuzaa mtoto then afanye yake but kabadilika na anahitaj kuolewa mazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba pambanua msemo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nasikitika sana na jambo uliloliweka humu, ni bora tu mkuu ungetulia maana taifa letu linapitia wakati mgum sana kwenye kulea watoto waliokulia mazingira magumu!
Ni bora ungesubiri huyo mwanake ajifungue then uchukue mtoto wako ili uachane nae kiroho safi kuliko ku dampo mtoto ambae hana hatia kwenye ulimwengu wa mateso.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unatafuta kulogwa! endelea tu kuikataa hiyo mimba utashangaa mimba unaibeba wewe.Muulize Mshana jr TANGA hawajaribiwi.
 
Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja atmae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba). Alirudi kwao tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakin aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaon utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 uku nilikuwa nisham-delete akilini. Nimempokea na cjamfunua k yake tangu aje, na mimba ajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkimaliza hapo mnakuja na Uzi Sioi single mother wakati zipu muda wote zipo wazi, demu wa mtandaoni ukae nae mwezi mzima halafu umwambie atoe Mimba ahahahaa ndio kisha kuja unae huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bora amekuja bila taarifa maana husingepokea simu au ungembadilishia kabisa

Mfyuuu, ingekuwa Mimi, hapo siondoki. . ukiondoka nimetuna ukirudi nmetuma
 
Mtoa mada siwezi kumlaumu kuna wanawake wengine kweli ni wazuri na wanavutia lakini linapokuja suala la kuishi nae awe mama wa familia inakuwa tatizo anakuwa hawezi kabisa. Cha kufanya jadiliana nae mfikie muafaka...
 
JARIBU KUWA UPANDE WAKE,UNGELIKUWA NI WEWE UNGEJISIKIAJE?ACHA UPIMBI...PAMBNA NA HALI YAKO,ULIVYOKUWA UNAMNANII ULIKUJA KUOMBA USHAURI HAPA....
 
Back
Top Bottom