Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Unapewa nafasi ya kugombea kwa kubebwa halafu unaleta "pang'ang'a"......Pamoja na sababu nyingine zozote, nahisi baadhi ya wabunge na Wana-CCM wengine ndani ya CCM, wanataka kuona kama kweli Gwajima ubunge kwake sio issue. Hivyo, Gwajima asisubiri wanuwahii kwa maana ya kumtimua ubunge kwani wanaweza kuanza kumsuta kwanini hakujiuzul licha ya tuhuma zote huku akiwa amewahi kudai ubunge sio hadhi yake yeye kama mtumishi wa Mungu.
Kwa maneno mengine, Mtu ambae ubunge kwake ni cheo kidogo kuliko uasikofu, hapaswi kuhangaika kujitetea/kutetea ubunge wake ball anapaswa kuachia ubunge huo haraka iwezekanavyo.
Sasa akisubiri, wamuwahi , sijui atasema mini kwani kwa matamshi yake, hastahili kusubiri hata hii adhabu aliyopewa na Bunge iishe, bali anapaswa kutangaza kujiuzulu mara moja na hapo atakuwa amethibitisha kauli yake kuwa uaskofu ni cheo kikubwa kuliko ubunge na vyeo vingine vyote vya kidunia.
Kazi kwake.
CDM mnawazia ubunge wa watu wengine tu.Gwajiboy ni mbunge .Kwannn ajiuzulu.Pamoja na sababu nyingine zozote, nahisi baadhi ya wabunge na Wana-CCM wengine ndani ya CCM, wanataka kuona kama kweli Gwajima ubunge kwake sio issue. Hivyo, Gwajima asisubiri wanuwahii kwa maana ya kumtimua ubunge kwani wanaweza kuanza kumsuta kwanini hakujiuzul licha ya tuhuma zote huku akiwa amewahi kudai ubunge sio hadhi yake yeye kama mtumishi wa Mungu.
Kwa maneno mengine, Mtu ambae ubunge kwake ni cheo kidogo kuliko uasikofu, hapaswi kuhangaika kujitetea/kutetea ubunge wake ball anapaswa kuachia ubunge huo haraka iwezekanavyo.
Sasa akisubiri, wamuwahi , sijui atasema mini kwani kwa matamshi yake, hastahili kusubiri hata hii adhabu aliyopewa na Bunge iishe, bali anapaswa kutangaza kujiuzulu mara moja na hapo atakuwa amethibitisha kauli yake kuwa uaskofu ni cheo kikubwa kuliko ubunge na vyeo vingine vyote vya kidunia.
Kazi kwake.
Ndo maana nakwambiaga huna akili bila kupepesa macho. Pamoja na Raisi kuonyesha yupo na Gwajiboy Jana bado hujagundua hakuna wa kumfanya lolote Gwajima ndani ya CCM!?.. Hivi kitendo cha kuletwa chanjo milioni moja na August 3 likazinduliwa zoezi la chanjo,Leo ni September 3 mwezi mmoja baadae zimetumika chanjo laki 3 tu, katika nchi yenye watu milioni 60 huoni hata hao wabunge 95% wapo upande wa Gwajima!?.. wakati mwingine muwe mnaficha uny.umbu wenu.
Kama siyo kweli viongozi wanapaswa kukanusha tu siyo kumwadhibu.Mkuu suala linalomkabili Gwajiboy ni kusema UONGO kwamba kuna Viongozi wa Juu Serikali wamehongwa ili kuruhusu chanjo iingie nchini. Pili chanjo walizochanjwa Viongozi Wale ni usanii mtupu. Na sababu hili ya Gwajiboy ndiyo iliyowatisha Watz kujitokeza.
Kama siyo kweli viongozi wanapaswa kukanusha tu siyo kumwadhibu.
Ajiuzulu kwa sababu zipi; kwa manyang'au wanaowaandama wenye mtazamo tofauti-NO acha wachukue hatua ili wananchi wapate nguvu ambayo hao wenye visasi watavyoanguka kwenye bwawa la topePamoja na sababu nyingine zozote, nahisi baadhi ya wabunge na Wana-CCM wengine ndani ya CCM, wanataka kuona kama kweli Gwajima ubunge kwake sio issue. Hivyo, Gwajima asisubiri wanuwahii kwa maana ya kumtimua ubunge kwani wanaweza kuanza kumsuta kwanini hakujiuzul licha ya tuhuma zote huku akiwa amewahi kudai ubunge sio hadhi yake yeye kama mtumishi wa Mungu.
Kwa maneno mengine, Mtu ambae ubunge kwake ni cheo kidogo kuliko uasikofu, hapaswi kuhangaika kujitetea/kutetea ubunge wake ball anapaswa kuachia ubunge huo haraka iwezekanavyo.
Sasa akisubiri, wamuwahi , sijui atasema mini kwani kwa matamshi yake, hastahili kusubiri hata hii adhabu aliyopewa na Bunge iishe, bali anapaswa kutangaza kujiuzulu mara moja na hapo atakuwa amethibitisha kauli yake kuwa uaskofu ni cheo kikubwa kuliko ubunge na vyeo vingine vyote vya kidunia.
Kazi kwake.
Gwajima anafukuzwa CCM, as soon as possibleNdo maana nakwambiaga huna akili bila kupepesa macho. Pamoja na Raisi kuonyesha yupo na Gwajiboy Jana bado hujagundua hakuna wa kumfanya lolote Gwajima ndani ya CCM!?
Hivi kitendo cha kuletwa chanjo milioni moja na August 3 likazinduliwa zoezi la chanjo,Leo ni September 3 mwezi mmoja baadae zimetumika chanjo laki 3 tu, katika nchi yenye watu milioni 60 huoni hata hao wabunge 95% wapo upande wa Gwajima!?.. wakati mwingine muwe mnaficha uny.umbu wenu.
Kwa hiyo hata kule Marekani ambapo chanjo imetengenezwa ba imetoka wanavyoigomea ni kutokana na maneno ya Gwajima?Mkuu suala linalomkabili Gwajiboy ni kusema UONGO kwamba kuna Viongozi wa Juu Serikali wamehongwa ili kuruhusu chanjo iingie nchini. Pili chanjo walizochanjwa Viongozi Wale ni usanii mtupu. Na sababu hili ya Gwajiboy ndiyo iliyowatisha Watz kujitokeza.
Ebu tuondolee upuuz hapa bhana..jf imekuwa na watu wapuuz puuz tu siku hzi
Swadakta!Ndo maana nakwambiaga huna akili bila kupepesa macho. Pamoja na Raisi kuonyesha yupo na Gwajiboy Jana bado hujagundua hakuna wa kumfanya lolote Gwajima ndani ya CCM!?
Hivi kitendo cha kuletwa chanjo milioni moja na August 3 likazinduliwa zoezi la chanjo,Leo ni September 3 mwezi mmoja baadae zimetumika chanjo laki 3 tu, katika nchi yenye watu milioni 60 huoni hata hao wabunge 95% wapo upande wa Gwajima!?.. wakati mwingine muwe mnaficha uny.umbu wenu.
Kwa hiyo unakubaliana na Gwajiboy siyo??Kwa hiyo hata kule Marekani ambapo chanjo imetengenezwa ba imetoka wanavyoigomea ni kutokana na maneno ya Gwajima?
Basi huyo Gwajima atakuwa ndio mtu anayesikizwa sana Duniani. Maana hapa Tz zimekuja chanjo 2M lakini hadi leo ukienda hadi wilayani bado zipo.