Sema wewe papa kasema nini. Halafu hiyo habari hajaandika FaizaFoxy hiyo ni BBC.Wewe usitake kujifanya mjanja Mimi Nina akili Mara kumi yako.Sio mpaka useme "haya papa huyo kasema hayo Na huyo ndo kila kitu kwenu " for us to understand what you are actually trying to say.Kuna "inferred meaning ".Jinsi ulivyoileta kabuki yako umesema eti hata papa mwenywe amethibitisha kuwa bible Ina fake news.Hapo moja kwa moja mtu mweny akili Timmy anaelewa unachojaribu ku derive hapo I.e papa ndo Ana say kweny mambo ya kikristo so Kama alisema maneno yake yana nguvu.Yes exaaaactly that's what you said indirectly tatizo unakurupuka afu unakuja kujikana mwenywe ukiona unashindwa.uwe unatuliza akili kwanza Na ufanye research yako kwanza kabla ya kutuletea hao representatives wako wa Dini Yetu unaowahisi wewe Ni representatives
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mama, Adamu alimaliza siku baada ya kula tunda alilokatazwa?Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.
Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.
Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.
Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.
Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.
Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.
Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?
Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?
Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"
Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani
Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu nakushauri uwe makini watu wengi si wasomaji wa biblia sasa utakuwa na cha kujibu kama wakipotea kwa sababu ya ulichoandika.Nitakujibu kwa kadili nitakavyopata muda lakini kwanza nataka wewe na wengine mjue kwamba seheta ni baba wa uongo,lakini haimanishi shetani husema uongo muda wote.Shetani kuna muda husema ukweli kwa sababu angekuwa anasema uongo muda wote asingepata watu wa kumwamini.
Hapo nilipo highlight red acha kupotosha Mungu alitoa adhabu ya kifo kabla hata hawajala hilo tunda(Mwanzo 2:16-17),
"16Mwenyezi-Mungu alimwamuru huyo mwanamume, “Waweza kula matunda ya mti wowote katika bustani; 17lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”
nitakuwa nakujibu kidogo kidogo kwa hiyo unatakiwa utubu umedanganya kwenye maelezo yako hapo juu.Lakini ppia nataka kujua je wewe ni msomaji wa Biblia?Kama ni msomaji kuna mambo unatakiwa uyajue,mara nyingi Mungu humpa mwanadamu kuchangua ingawa humshauri achague nini ili awe salama.Kama ambavyo wengine wamechangia Adam na Hawa walikufa,ingawa kwa mwanzoni unaweza ona Mungu alidannganya na ndivyo shetani alivyowaambia kwamba hamtakufa,kama wachangiaji wengine walivyosema hakuwaaambia watakufa muda huo huo.Lakini unatakiwa kujua kwamba Mungu huutangaza mwisho kuanzia mwanzo,aliona mbeleni watakufa ila shetani a liongelea immediately hapo ndiyo tofauti na wewe umemwamini.Hapo hakuna kipya,ule mti jina jingine ni mti wa ujuzi wa mema na mabaya ambapo baada ya wao kula tunda kweli walikuwa na ujuzi wa mema na mabaya.Kwa hiyo shetani hakuna jipya alilowaeleza isipokuwa aliwadanganya hawatakufa akimanisha immediately baada ya kula tunda,lakini baadaye walikufa.
Biblia siyo kitabu cha hadithi za kutungwa kama vitabu vingine tunaposema mtu unahitaji Roho mtakatifu akusaidie kuelewa huwa hamtueleimi,hicho kitabu si kama vy kidunia "if you can read it you can understand" siyo applicable kwenye bible.
Na hapo wale ndugu hutumia kupotosha watu,na wanaopotoshwa ni wale wakristo wenye majina ya kikristo ila hawaishi the christian life.
by the way nataka kujua wewe ni devoted christian au husoma Biblia mguu mmoja ndani mwingine nje?
Kupata ufahamu wa kujua mema na mabaya hiyo haiwezi kufanya uwe sawa na Mungu hapo inadhibitisha hata shetani mwenyewe alikua mwongo kwa kuwaambia wakila wangekua sawa na Mungu.
Mkuu jibu maswali yangu niliyokuuliza,kuna vitu naona unajichanganya mwenyewe,Mungu aliposema yeye ni Mungu mwenye wivu ni kweli imeandikwa hivyo,wewe unatoa wapi maelezo kwamba kama ni mwenye wivu maana yake anaonea wivu miungu wengine wenye nguvu kuliko yeye?Wewe ni wapi kwenye biblia imeandikwa hao miungu wengine wana nguvu kuliko yeye?Hapo ndipo unakua unakosea .Mbona kila kitu nimeeleza, jaribu kutuliza akili yako na andika kwa paragraph mkuu.
Mungu yupo kama binadamu , siku zote binadamu anataka ufanikiwe ila sio kufanikiwa kumzidi, huyo Ndo Mungu , na kumbuka alisema yeye ni Mungu mwenye wivu , hakati tumwabudu Miungu yeyote zaidi yake , apo inamaanisha kuna miungu mingine powerful kumzidi
Aliwafukuza adam na hawa bustanini kwa kuhofia watakula mti wa uzima na kuishi milele, Sasa hapo ndo ujiulize why Mungu hakutaka tuishi milele? Na anasema anatupenda
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu wewe ni mpotoshaji,kama wale jamaa tabia zao husoma maandiko hawayamalizii,umesema Mwanzo 3:22 mimi nakuomba uendelee usome mpaka Mwanzo 3:24Mwanzo 3:22 inasema " bwana Mungu akasema, basi mtu huyu amekua kama sisi kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala akaishi milele"
Umeona Sasa hofu ya Mungu aliyokua nayo kwa binadamu baada ya kula tunda?, na kwa nini aliwafukuza akina adam bustan ya Eden kama wangekua hawana madhara kwke? Yeye c Ndo aliyewaumba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeacha habari za umbea?Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.
Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.
Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.
Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.
Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.
Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.
Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?
Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?
Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"
Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani
Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kitendo tu cha wewe kupigwa dudu na wanaume mashoga wenzako tayari wewe ni mfuasi mwaminifu wa Lucifer.Walikufa kiroho Yesu alipokuja ndipo tulipofufuliwa kiroho. Shetani aliona kwa maono yake ila kiukweli walikufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri kosa la Shetani siyo kumdanganya Eve/Hawa bali ni KUFICHUA SIRI ZA MUNGU KWA MWANADAMU. Jiulize kama kweli Adamu alikuwa na maisha ya milele kwanini Mungu apande mti wa Uzima? Apa inaonesha Adamu alipungukiwa vitu viwili ili awe kama Mungu, kwanza ni MAARIFA( Ujuzi wa mema na mabaya) pili ni MAISHA YA MILELE.
Aya mambo mawili ya utimilifu wa Adamu, Mungu aliyafanya fumbo ili Adamu hasiwe nayo ili awe tegemezi kwa bwana Mungu wake. Ili fumbo Mungu aliliweka kama tunda japo siyo tunda kama tunda! Na akamwambia Adamu hasiguse apo maana alijua Adam akifumbua ayo Mafumbo mawili basi hataweza tena kumdhibiti Adamu maana atakuwa na Utimilifu wote.
Kwahiyo shetani alichofanya ni kufichua siri ya Mungu kwa Adamu akiamini Adamu akitimilika basi atapata kiumbe mwingine wa kushirikiana naye kupambana na Utawala wa Mungu. Mungu kwa kutambua hila za Shetani akamfukuza Adamu kwenye ile Bustani ili hasile tunda la pili(kufungua code namba mbili) za kuishi milele.
Kwahiyo Shetani hajasema uongo ni ukweli japo ni ukweli ambao Mungu hakutaka ujulikane kwa Adamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri kosa la Shetani siyo kumdanganya Eve/Hawa bali ni KUFICHUA SIRI ZA MUNGU KWA MWANADAMU. Jiulize kama kweli Adamu alikuwa na maisha ya milele kwanini Mungu apande mti wa Uzima? Apa inaonesha Adamu alipungukiwa vitu viwili ili awe kama Mungu, kwanza ni MAARIFA( Ujuzi wa mema na mabaya) pili ni MAISHA YA MILELE.
Aya mambo mawili ya utimilifu wa Adamu, Mungu aliyafanya fumbo ili Adamu hasiwe nayo ili awe tegemezi kwa bwana Mungu wake. Ili fumbo Mungu aliliweka kama tunda japo siyo tunda kama tunda! Na akamwambia Adamu hasiguse apo maana alijua Adam akifumbua ayo Mafumbo mawili basi hataweza tena kumdhibiti Adamu maana atakuwa na Utimilifu wote.
Kwahiyo shetani alichofanya ni kufichua siri ya Mungu kwa Adamu akiamini Adamu akitimilika basi atapata kiumbe mwingine wa kushirikiana naye kupambana na Utawala wa Mungu. Mungu kwa kutambua hila za Shetani akamfukuza Adamu kwenye ile Bustani ili hasile tunda la pili(kufungua code namba mbili) za kuishi milele.
Kwahiyo Shetani hajasema uongo ni ukweli japo ni ukweli ambao Mungu hakutaka ujulikane kwa Adamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri kosa la Shetani siyo kumdanganya Eve/Hawa bali ni KUFICHUA SIRI ZA MUNGU KWA MWANADAMU. Jiulize kama kweli Adamu alikuwa na maisha ya milele kwanini Mungu apande mti wa Uzima? Apa inaonesha Adamu alipungukiwa vitu viwili ili awe kama Mungu, kwanza ni MAARIFA( Ujuzi wa mema na mabaya) pili ni MAISHA YA MILELE.
Aya mambo mawili ya utimilifu wa Adamu, Mungu aliyafanya fumbo ili Adamu hasiwe nayo ili awe tegemezi kwa bwana Mungu wake. Ili fumbo Mungu aliliweka kama tunda japo siyo tunda kama tunda! Na akamwambia Adamu hasiguse apo maana alijua Adam akifumbua ayo Mafumbo mawili basi hataweza tena kumdhibiti Adamu maana atakuwa na Utimilifu wote.
Kwahiyo shetani alichofanya ni kufichua siri ya Mungu kwa Adamu akiamini Adamu akitimilika basi atapata kiumbe mwingine wa kushirikiana naye kupambana na Utawala wa Mungu. Mungu kwa kutambua hila za Shetani akamfukuza Adamu kwenye ile Bustani ili hasile tunda la pili(kufungua code namba mbili) za kuishi milele.
Kwahiyo Shetani hajasema uongo ni ukweli japo ni ukweli ambao Mungu hakutaka ujulikane kwa Adamu.
Sent using Jamii Forums mobile app