Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Wewe ni kilaza kweri. Kiongozi wa nchi kusimamia uchumi na kuwa dictator vinausiana vipi? Kukataa ufisadi na ubadhilifu unashauli lazima kwanza awe dictator? Namashaka na vyeti vyako kama sio feki basi elimuyako ni feki vyeti original. Nikwambie tu in advance. Kiongozi ambae anadhamila ya dhati kwa taifa lake kweli. Kitu cha kwanza kabisa analipa taifa lake misingi imara. Yani analipatia katiba ilio bora!!.yenye usawa kwa watu wote. Kisha anaimalisha utawala wa sheria. Dheni ayo mengine ni kama kusukuma mlevi tu.
Ahaa, vyeti vyangu vinahusiana na nini na hili? Acha nisijisifu maana haitanisaidia.How you rate me is none of my business.

NI KWELI kuwa yale uliyoyataja ni ya muhimu ili kuwa na UTAWALA BORA. Lakini pia Utawala bora hauwezi kuwepo wakati KILA MTU anajifanyia na kuiba jinsi anavyotaka. Ni lazima kuwe na STOP valve. Ambavyo ndo Magufuli anavyofanya.

Kumbuka hii ni MISINGI mibovu iliyokuwa imejengwa hapo nyuma kwa muda mrefu.
Ndo sasa Magufuli ANAJARIBU KUIBOMOA kama alivyowaahidi wapiga kura waliomchagua.

kwa nini mimi na wewe TUSIMUUNGE mkono?
Na kama una wazo zuri toa.
WAZO lako laweza kusaidia.
"Usitupe mtoto akiwa kwenye karai ukimaliza kumwosha pamoja na MAJI yake" /"Don't THROW the BABY out with BATHWATER!!!!!!!!
 
So how can you ensure that power is used wisely by a nadman like Magufuli?

Unafahamu Magufuli kashawahi kuwaambia polisi wavunje sheria wakati yeye kaapishwa kutetea utawala wa sheria?

Na hapo hujampa udikteta bado.

Sasa mtu kama huyu ukimoa udikteta akiamua kuua Watanzania fulani ili kusiwe na population explosion na mipangobya uchuminiende vizuri utamsimamishaje? Na udikteta ushampa.

Hapi hujampa udikteta kaisigina katiba mara saba mara sabini na saba. Ukimpa udikteta utajuaje kwamba hatageuka Mfalme Caligula?

Unataka kugeza tembo kunya kama Singapore wakati Magufuli ni gubegube hajui kwamba Saddam Hussein hakuwa rais wa Kuwait?
Mkuu naheshimu mawazo yako. ILA kauli ni SHARP sana. Kum refer rais wako kama MADMAN hata kama KISIASA mnaweza kutofautiana, then office ya the PRESIDENCY iheshimiwe. Pasipo matusi.

Naamini hata wewe mtu akija ofisini akuambie hujambo wewe "MWEHU" Utakasirika sana.
Hivyo basi as much as mambo mengine hukubaliani naye basi HESHIMA IBAKI na comments zijae restraint/Kujizuia kutoa MATUSI!
 
Mkuu;
Litakuwa bomu kama:
Serekali ilijua kuwa mchanga huo ulikuwa na hayo madini mengine yoote halafu ikaridhia. Tutaulizwa, nilificha nini zaidi?? Hayo madini mengine niliyopata huko, haya hapa sijawahi kuuza hata robo kilo.
Pili, Je, kama ikionekana kuwa kiasi walichokuwa wana declare ni cha chini, itakuwaje bomu?? Ndg, hii ndio opportunity yetu ya kuibadili mikataba yoote ya madini na mambo mengine kama Gas. Usiogope. Hata kama tumeleta figisu, watajua kuwa bado kidogo kutakucha kwetu. Nadhani, kutokana na hili, hata siri nyingine kule migodini zimewekwa wekwa wazi kidogo. Sales lazima zimeongezeka kidogo na mrahaba wetu umeongezeka kidogo. Ukichanganya na 10% iliyozibwa tena, mambo yatanyooka tu.
Safi sana.
 
Tuone nini mkuu?
Hii mikataba ni ya kimataifa na tulisaini wenyewe, hapa busara inahitajika sana na siyo sifa, kweli Rais ana nia njema lakini anatakiwa apate washauri wazuri na siyo tu hao CCM wenzake ambao ndiyo wametufikisha hapa tulipo.
 
Hii mikataba ni ya kimataifa na tulisaini wenyewe, hapa busara inahitajika sana na siyo sifa, kweli Rais ana nia njema lakini anatakiwa apate washauri wazuri na siyo tu hao CCM wenzake ambao ndiyo wametufikisha hapa tulipo.
Nakubaliana nawe katika hilo. Ndo maana alichagua KAMATI ya WATAALAMU ili baada ya yote WATOE USHAURI/MAPENDEKEZO yao.
Na rais hakuangalia huyu ni wa CCM ama CHADEMA aliangalia kama huyu ni MTANZANIA.
Mkuu naheshimu comments zako maana ni kubadilishanan mawazo. una pointi.
 
Well noted
Nakubaliana nawe katika hilo. Ndo maana alichagua KAMATI ya WATAALAMU ili baada ya yote WATOE USHAURI/MAPENDEKEZO yao.
Na rais hakuangalia huyu ni wa CCM ama CHADEMA aliangalia kama huyu ni MTANZANIA.
Mkuu naheshimu comments zako maana ni kubadilishanan mawazo. una pointi.
 
Hebu mwenye kujua hitima ya hizi scandle mwisho wake ilikuwa nini
  1. Minofu ya samaki
  2. Mashamba ya Mkonge
  3. Richmond
  4. Epa
  5. Escrow & IPTL
Na sasa makinikia ya Acacia
mwisho ya hizi zote ilikuwa nini
 
Hebu mwenye kujua hitima ya hizi scandle mwisho wake ilikuwa nini
  1. Minofu ya samaki
  2. Mashamba ya Mkonge
  3. Richmond
  4. Epa
  5. Escrow & IPTL
Na sasa makinikia ya Acacia
mwisho ya hizi zote ilikuwa nini
Jibu ni kuwa Magufuli ameanzia na moja. Menginen yanafuata. Vumilia kidogo tu.
 
Hay yawepo ili muradi:
(i) Sheria zifwatwe tusije ingizwa hasara za KiDowanzi,
(ii) Udikiteta usizidi ama kukaribia ule wa Hitla,
(iii) Maamuzi yasifanywe kutafuta zaidi SIFA.
(iv) Maoni ya WENGINE wenye mapenzi mwema na Nchi yasipuuzwe sababu tu wako "upande wa pili", nk. nk..
Mkuu, Udikteta mzuri hautakaribia ule uliousema.
 
Kamusi gani na maneno gani?

Unaishi kwa kamusi wakati kamusi zote zilizochapushwa zishapitwa na wakati?

Nini kamusi, gazeti la keo tu lishapitwa na wakati, maana limechapishwa jana usiku na kuna mambo mapya yanatokea leo.

Acha kukariri.
Kamusi ya Oxford English Dictionary itakupa pia maana na utofauti wa hizi aina za udikteta mbili
 
Utaratibu uliopo Dunia nzima, kabla ya mgodi kuchimbwa lazima kamouni husika itangaze kupitia Press release kwamba wamepata Madini nchi fulani na yapo ya kiwango fulani
Na nchi husika lazima wafahamishwe kuwa katika haya Madini tuliyoyapata kuna na mengine yapo yamechanganyika, HIVYO TANZANIA TULIKUWA TUNAJUA NDANI KUNA NINI ZAIDI YA DHAHABU
Not necessarily. Jamaa wajanja. Na watu wetu wajifunze KUDADISI mambo bila ya kumwogopa mzungu.
 
Back
Top Bottom