KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,112
- 1,798
Kumbe unazini, unatamani, unaiba na unasema uongo kwa sababu kuna neema????Walimu wa uongo utawajua tu, kwa taarifa yako ukae ukijua kuwa tupo wengi tunaziamini hizo amri na ni kwa neema ya YESU tunafanya hivyo pia ni kwa neema hiyo hiyo tutaokolewa. BARIKIWA KWA KUBADILISHWA NA BWANA.
Hapo naona neema ni kubwa kuliko amri.