Katika amri 10 za Mungu sidhani kama hizi 3 aliziweka yeye bali ni viherehere vyetu tu sisi Wakristo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,369
108,411
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu hizi amri kumi ( 10 ) za Mungu juu yetu sisi Wakristo na kugundua ya kwamba zile saba ( 7 ) kweli Mwenyezi Mungu aliziweka ila hizi tatu ( 3 ) lazima tu zitakuwa zimewekwa na Sisi Wakristo kwa kiherehere chetu na roho mbaya zetu tu zilizotukuka.

Nakataa kata kata kwamba Mwenyezi Mungu aliweka hizi amri tatu zifuatazo :

  1. Usiseme Uwongo
  2. Usizini
  3. Usitamani Mwanamke / Mwanaume asiye Mke / Mume wako
Hivi jamani tuacheni Unafiki na Uwoga kuna Binadamu au Mkristo aliyetukuka kweli anaweza kuishi bila......
  1. Kusema Uwongo?
  2. Bila Kuzini kwa kisingizio tu cha kutegemea Mbunye / Mkuyenge huo huo 24/7?
  3. Kutamani Demu / Mke wa Mshikaji au Buzi / Mume wa Mtu?
Mimi kuanzia leo hii naamini kuwa amri za Mwenyezi Mungu ni saba ( 7 ) tu na hizi tatu ( 3 ) tumezitunga tu Sisi Binadamu / Wakristo hivyo nawashaurini pia Wakristo wenzangu wote popote pale mlipo kuwa acheni kudanganyika na Watu wabaya waliomsingizia Mungu kuwa amezuia kusema Uwongo, Kuzini na Kutotamani Mpenzi wa Mwenzako.

Ipo haja kwa Wakristo wenzangu kujifunza Kutafakari haya Maandiko vizuri na siyo kukubali tu kudanganywa na Watu wa hovyo hovyo ambao hawaruhusu Watu wenye akili kubwa kuhoji mambo ya msingi kama haya.

Haya mnaojua dini na maandiko yake Kindakindaki karibuni mtiririke na mserereke Kiroho zaidi.
 
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu hizi amri kumi ( 10 ) za Mungu juu yetu sisi Wakristo na kugundua ya kwamba zile saba ( 7 ) kweli Mwenyezi Mungu aliziweka ila hizi tatu ( 3 ) lazima tu zitakuwa zimewekwa na Sisi Wakristo kwa kiherehere chetu na roho mbaya zetu tu zilizotukuka.

Nakataa kata kata kwamba Mwenyezi Mungu aliweka hizi amri tatu zifuatazo :

  1. Usiseme Uwongo
  2. Usizini
  3. Usitamani Mwanamke / Mwanaume asiye Mke / Mume wako
Hivi jamani tuacheni Unafiki na Uwoga kuna Binadamu au Mkristo aliyetukuka kweli anaweza kuishi bila......
  1. Kusema Uwongo?
  2. Bila Kuzini kwa kisingizio tu cha kutegemea Mbunye / Mkuyenge huo huo 24/7?
  3. Kutamani Demu / Mke wa Mshikaji au Buzi / Mume wa Mtu?
Mimi kuanzia leo hii naamini kuwa amri za Mwenyezi Mungu ni saba ( 7 ) tu na hizi tatu ( 3 ) tumezitunga tu Sisi Binadamu / Wakristo hivyo nawashaurini pia Wakristo wenzangu wote popote pale mlipo kuwa acheni kudanganyika na Watu wabaya waliomsingizia Mungu kuwa amezuia kusema Uwongo, Kuzini na Kutotamani Mpenzi wa Mwenzako.

Ipo haja kwa Wakristo wenzangu kujifunza Kutafakari haya Maandiko vizuri na siyo kukubali tu kudanganywa na Watu wa hovyo hovyo ambao hawaruhusu Watu wenye akili kubwa kuhoji mambo ya msingi kama haya.

Haya mnaojua dini na maandiko yake Kindakindaki karibuni mtiririke na mserereke Kiroho zaidi.
Kwani lazima uzifate zote....ukiamua acha kabisa kuzisoma,,au jiwekee zakwako..
 
mkuu povu lipi mbona hujbu hoja.
Hizo amri mnajitahid kuzikataa coz daily zinagusa sana watu wengi na huwa zinawasumbua sana watu na wakidhan ni ngumu kuzitekeleza ila uwezekano wa kuzitenda upo na unaweza ukawa mtakatifu ungali hapa hapa duniani na maandiko yameweka wazi kuwa mungu anawapenda watakatifu waliopo duniani na ndio anaopendezwa nao
 
Hizi vita sii vya mwili na damu vita yetu ni pepo yuke roho mchafu
Usitamani mwanamke/mume wa MTU elewa ni amri sasa kiroho kutamani maana yake nini? Kuna tofauti ya kuapriciate kuaknowledge mke wa/mume wa MTU Kwa mazuri na ukaiga yaliyo mema na IPO tofauti ya kumwangalia mwanamke/mume kumfikiri kimapenzi
Watumishi wa Mungu wataeleza zaidi kiroho
 
Back
Top Bottom