Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Mida hii ya asubuhi katibu mwenezi wa chadema anashikiliwa na polisi wa wilaya ya mwanga. Hoja zao eti atoe maelezo kuhusu mkutano wa jana nini kilizungumzwa.
Kweli hii serikali imeishiwa na kuchanganyikiwa sasa.
Kweli hii serikali imeishiwa na kuchanganyikiwa sasa.