Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 128
mmoja na ya Ireland, mwingine UK wawili USA bila kusahau kuwa wote hao wanazo za Tanzania pia
huyo ndio mbunge wetu ambaye yuko mstari wa mbele kutuambia madhambi ya wenzie
GT wewe una uraia wa nchi ngapi?
Isije ikawa unamlaumu huyu mama kwa kuwalaumu wenzake wakati yeye mambo yake hayako barabara, wakati wewe mwenyewe ...
Kama principle unayotaka kutumia hapa ni kuwa "kama wewe una issues huwezi kuwasema wenzako" basi wewe kumsema huyu mama kunamaanisha wewe huna issue?