Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi

Nimesoma huo waraka sioni tatizo lolote. Hizo ni hoja zinazopaswa kujibiwa na siyo kuzigeuza kuwa uchochezi. Mbona maaskofu huwa wanatoa nyaraka na hawakamatwi?
 
Sitaipigia kura ccm hadi masheikh wanaoshikiliwa washitakiwe
Mkuu dawa si kuacha kupiga kura bali ni kumshauri Rais kutambua umuhimu wa kujenga jamii moja isiyo na ubaguzi wa kidini kwenye ajira na elimu!! tumwambie Rais kuwa penye moshi pana moto siku moja nchi haitatawalika mfumo kristo ukitamalaki!! huyu ni Rais mzuri tumsifie kwa mazuri yake na tumsaidie kuona mapungufu yalipo mfano mimi huwa akiteua nahesabu waislam wangapi wakristo wangapi!!
 
Nimerudia tena kuusoma waraka !aisee Jeshi la Polisi lisiishie tu kumkamata shekhe Ponda bali apelekwe mahakamani kabisa !!huwezi kuandika waraka unaozaa chuki kiasi kile halafu uachwe tu unadunda mtaani !!
we dini gani mkuu?
 
mkuu tuombe radhi !! na kwa kauli yako kuwa waislam hawana akili tayari umelaaniwa!!

kwa jina la Allah mimi pia ni mtu mwenye akili nyingi na ni mwislam!! mkuu Sheikh Ponda ni mwanaharakati wa kweli wa kutetea maslahi ya waislam Tanganyika, huyu ni kiongozi na ana wafuasi!!mmojawapo wa wafuasi wake ni mimi namkubali sana si kwa sababu ni mwislam kama mimi bali kwa sababu anaandika madai yake kisomi kwa kutumia data sasa ukitaka kujibu hoja zake lazima nawewe uwe na data!!

mkuu kumbuka kiongozi wa waislam au nchi si lazima awe ndie Kipanga zaidi ya wote! mfano mimi naamini kwa dhati kuwa naujua ujamaa vizuri kuliko mtu yoyote nchini na ningeweza kumfundisha Nyerere ujamaa Nyerere ambae hakuuelewa kabisa akawasumbua mamilioni ya watu kwa vijiji vya ujamaa na maduka ya ushirika na akaandika vitabu na vitabu ujinga mtupu!!! mimi leo wallah nakufundisha ujamaa in five minutes kwa kichwa na kwa lugha rafiki na nikishakufundisha unaona upumbavu wote mbele yako kwa marais wote wa Afrika waliojiita wajamaa! in short ujamaa is an ideology which remains on paper and which is not possible in practice! it is utopian stuff sababu by nature any soul is selfish and souls have inner motivations and levels of hardwork which are different hivyo hakuna asili ya mwanadamu inayotukuza eti mlipwe sifa na maslahi sawasawa na kujaza mali ya shirika bila kiboko!! huwezi kuelewa!! ( my teachers ni watatu wa Political economy!!one American prof, one indian prof and one european prof)!!

kuna mambo hayatumii akili bali system zilizoota mizizi,mfano ajira zinapotangazwa bongo wanaotangaza ni wakristo waliojazwa maofisini na Nyerere hawa ndio hufanya usaili na hawa ndio wanaajiri wakristo wenzao,waislam nchini wana safari ndefu kuuvunjavunja mfumo kristo ulioota mizizi, mojawapo ya njia ni kuzaliana! usitegemee mfumo huu utaishi milele, kuna siku utaisha labda si katika wakati ambao sisi tunaishi!!

hawa kina Sheikh Ponda ni vivuruge wa mfumo kristo lazima wakamatwe sababu wanaanika waziwazi mbinu chafu zilizoko nchini kuendeleza ukafiri hasa kwenye ajira na elimu!!

Kaka waislam ni watu wenye elimu zaidi nchini Tanzania FYI but i can tell you dini yao huwajengea dharau ya maslahi ya kidunia! kitabu chetu chatuambia kupambana kuwa mtu safi ili mbele za Allah uokoke!! this is the main reason huwezi kuona fujo ambayo ingetokea kama kundi zima la waislam nchini wangekuwa ni wapagani kama West, wasingekaa kimya!! mimi naongea hapa ni muislam na nina digrii tatu za mlimani usa na europe!

Sheikh Ponda is great thinker kwenye kutetea haki za waislam YES you are right ila si kwenye mambo mengine!!

mkuu another time tumia kichwa kufikiri sio moyo, do you know the difference?
nimekuelewa kula like nyingine
 
Wewe sio muislamu acha kudanganya
Una darubini ya kujua huyu ni muislamu na huyu si muislamu hapa jamii forums? Kwani kila muislamu lazima akubaliane na huo waraka au wewe ndio wale wa mihemko ukidhani kila muislamu atahemka kama wewe!
 
mkuu tuombe radhi !! na kwa kauli yako kuwa waislam hawana akili tayari umelaaniwa!!

kwa jina la Allah mimi pia ni mtu mwenye akili nyingi na ni mwislam!! mkuu Sheikh Ponda ni mwanaharakati wa kweli wa kutetea maslahi ya waislam Tanganyika, huyu ni kiongozi na ana wafuasi!!mmojawapo wa wafuasi wake ni mimi namkubali sana si kwa sababu ni mwislam kama mimi bali kwa sababu anaandika madai yake kisomi kwa kutumia data sasa ukitaka kujibu hoja zake lazima nawewe uwe na data!!

mkuu kumbuka kiongozi wa waislam au nchi si lazima awe ndie Kipanga zaidi ya wote! mfano mimi naamini kwa dhati kuwa naujua ujamaa vizuri kuliko mtu yoyote nchini na ningeweza kumfundisha Nyerere ujamaa Nyerere ambae hakuuelewa kabisa akawasumbua mamilioni ya watu kwa vijiji vya ujamaa na maduka ya ushirika na akaandika vitabu na vitabu ujinga mtupu!!! mimi leo wallah nakufundisha ujamaa in five minutes kwa kichwa na kwa lugha rafiki na nikishakufundisha unaona upumbavu wote mbele yako kwa marais wote wa Afrika waliojiita wajamaa! in short ujamaa is an ideology which remains on paper and which is not possible in practice! it is utopian stuff sababu by nature any soul is selfish and souls have inner motivations and levels of hardwork which are different hivyo hakuna asili ya mwanadamu inayotukuza eti mlipwe sifa na maslahi sawasawa na kujaza mali ya shirika bila kiboko!! huwezi kuelewa!! ( my teachers ni watatu wa Political economy!!one American prof, one indian prof and one european prof)!!

kuna mambo hayatumii akili bali system zilizoota mizizi,mfano ajira zinapotangazwa bongo wanaotangaza ni wakristo waliojazwa maofisini na Nyerere hawa ndio hufanya usaili na hawa ndio wanaajiri wakristo wenzao,waislam nchini wana safari ndefu kuuvunjavunja mfumo kristo ulioota mizizi, mojawapo ya njia ni kuzaliana! usitegemee mfumo huu utaishi milele, kuna siku utaisha labda si katika wakati ambao sisi tunaishi!!

hawa kina Sheikh Ponda ni vivuruge wa mfumo kristo lazima wakamatwe sababu wanaanika waziwazi mbinu chafu zilizoko nchini kuendeleza ukafiri hasa kwenye ajira na elimu!!

Kaka waislam ni watu wenye elimu zaidi nchini Tanzania FYI but i can tell you dini yao huwajengea dharau ya maslahi ya kidunia! kitabu chetu chatuambia kupambana kuwa mtu safi ili mbele za Allah uokoke!! this is the main reason huwezi kuona fujo ambayo ingetokea kama kundi zima la waislam nchini wangekuwa ni wapagani kama West, wasingekaa kimya!! mimi naongea hapa ni muislam na nina digrii tatu za mlimani usa na europe!

Sheikh Ponda is great thinker kwenye kutetea haki za waislam YES you are right ila si kwenye mambo mengine!!

mkuu another time tumia kichwa kufikiri sio moyo, do you know the difference?
You are just talking shit and rubbish. Kwanza na wewe omba radhi kwa kumtukana Nyerere maana umerithishwa chuki za kidini ambazo kimsingi Nyerere alikuwa anazikemea waziwazi. Unajiita msomi halafu andiko lako limejaa ujinga mtupa. Kwa ufupi huna hoja na huwezi ku-argue critically bali kwa mihemko ya udini.
 
You are just talking shit and rubbish. Kwanza na wewe omba radhi kwa kumtukana Nyerere maana umerithishwa chuki za kidini ambazo kimsingi Nyerere alikuwa anazikemea waziwazi. Unajiita msomi halafu andiko lako limejaa ujinga mtupa. Kwa ufupi huna hoja na huwezi ku-argue critically bali kwa mihemko ya udini.
Kweli kabisa ...ni ujinga mtupu wanaorithishwa na wapuuzi wachahe
 
d
You are just talking shit and rubbish. Kwanza na wewe omba radhi kwa kumtukana Nyerere maana umerithishwa chuki za kidini ambazo kimsingi Nyerere alikuwa anazikemea waziwazi. Unajiita msomi halafu andiko lako limejaa ujinga mtupa. Kwa ufupi huna hoja na huwezi ku-argue critically bali kwa mihemko ya udini.
dawa ishakuingia, tulia sindano ikuingie vizuri! i must admit wewe umesoma bongo tu mnapokaririshwa ujinga!! ukisoma nje unajitambua!! hakuna ulazima kutulazimisha kumuabudu Mwalimu aliejenga misingi ya mfumo kristo!! waislam ndo maskini nchi hii na sababu ni Mwalimu!!
 
Wanalalamika kuondolewa kwnye nafasi au kutokuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali sasa kama hauko cimpetent uchaguliwe tu kisa we ni muisilamu??upuuzi kabisa
 
d

dawa ishakuingia, tulia sindano ikuingie vizuri!
Na kwa taarifa yako tu hata waje marais waislamu watatu waongozane kushika madaraka kamwe hayo matamanio yenu ya kutaka kugeuza Tanzania kufanya kazi kwa misingi ya udini haitafaulu kamwe sana sana mtaambulia kuchakazwa tu.
 
Back
Top Bottom