kababaa1
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 596
- 398
Kuna watu hawalali ili wewe ulale. Mambo mengine mnajitakia kabisa.Hapo wanasubiri reaction yetu wananchi, wakiona moto umekuwa mkubwa watasema wanamshikilia na ‘upelelezi’ unaendelea.
Hapa ndipo vyombo vyetu vya usalama hunichosha, unamshikilia vipi mtu pasi na kuwa na hati ya mashtaka dhidi yake?
Na hata upelelezi huo ukikamilika kila uchwao yanaibuka mashtaka mapya, BS.
Eti vyombo vya usalama vinakuchosha!!!!!