Kwan kukamatwakwa ajili ya mahojiano kuna tatizo gani??? Sheria haina ubaguzi kama akihojiwa na akaonekana hana hatia ataachiwa na kama ataonekana ana makosa atawajibika kwa mujibu wa sheria !yani hata kama polisi wana mambo ya kumuuliza wasimhoji kwa sababu yeye ni shekhe ???