Tetesi: Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Bashiru Ali kutimkia ACT Wazalendo

Wao ACT siwalimpinga JPM sasa wameanza kuokoteza watu wa JPM tuliwaambia kuwa jpm ni jiwe haswa wakabisha ....zuzu zitto anasemaje....?
Nawewe unaamini story za vijiwe vya kahawa? Aliyeturoga watanzania alituweza sana. Hata kureason kidogo tu hakuna?
 
Huna unachojua kumhusu DK Bashiru! Nimekwambia weka ushahidi hapa kuonyesha kuwa haliwahi kuwa Cuf! Unalia lia tu!
Ulivyo hujui lolote unafikili DK Bashiru ndio alikuwa anawanunua hao Malaya wa kisiasa!
Dk slaa nae alinunuliwa na DK Bashiru?
Wakati Slaa anatoka cdm, Bashiru alikuwa ccm? Nani aliwanunua hao Malaya wa kisiasa, ama hujui wakati huo alikuwa katibu mkuu wa ccm. Nikupe ushahidi gani, ama Mimi ni ofisi ya CUF hivyo Nina daftari la waliokuwa wanachama wake?
 
Huyu na Polepole walitajirika sana katika ule mradi haramu wa kununua wapinzani uchwara. Walikuwa wanaweka cha juu wakati mwingine mara mbili ya kile alicholipwa mpinzani uchwara. Magufuli alikuwa na mabilioni aliyokuwa anapora kwenye plea bargain, alikuwa anachota tu ili mradi kuikomoa Chadema. Magufuli alikuwa mpumbavu sana.
Exactly.
 
Content na kilichomo vitu viwili tofauti

Bashiru Ali kutimkia ACT
Bashiru Ali ana mipango ya kutimkia ACT
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
YAAANI HUKO NDIYO ANAENDA KUUZA UHURU WAKE KABISA BORA ANGEBAKI NA UBUNGE WA KUTEULIWA HUKO ANAPOTEA KABISA
 
Kwani mshahara ndio unaleta utajiri au deal akiwa kwenye hicho cheo?
Zingatia neno NJAA.Huyo Hana njaa,labda kama ana ndoto zakua TAJIRI kama ambao unahisi wako kwenye madaraka na wana huo utajiri.
 
Dk Bashiru Kakurwa hakuwa na makando kando ya kuiba wala kuhujumu mali za chama! Alirejesha mali zote za chama zilizokuwa zimeibiwa chamani na mmoja wa watu waliokuwa wameiba "kujimilikisha" mali za chama ni Nape.

Alirudisha mali zote za chama,ikiwemo maduka,majengo, radio station na TV station, viwanja vya wazi n.k chama kiliongeza mapato kuliko wakati wowote toka chama kianzishwe, alisimamia uchaguzi ndani ya chama kwa utaratibu wa kueleweka!

Alilipa madeni na mishahala ya watumishi wote wa chama ambao walikuwa wanadai malimbikizo yao,aliwapa makatibu wa chama wa wilaya nchi nzima vitendea kazi vya ofisi kikamilifu pamoja na kuwapatia magari ya kisasa ili wafanye kazi zao kwa weredi!

Ndio wakati tuliona makatibu wa wilaya na mikoa wakiandaa na kuitisha mikutano ya adhara kunadi sera za chama.

Ndie aliefanya chama kutotegemea wafanyabiashara na mafisadi bali chama kilijitosheleza na kujiendesha kwa rasilimali zake zenyewe.

Sasa sijui tafsiri yako ya kusema ni katibu wa hovyo inatoka wapi? Au wewe ni muanga uliekuwa umejimilikisha mali za chama!!

Kama sio tueleze ni katibu gani wa chama cha mapinduzi aliewahi kufanya kazi ya angalau ya viwango vya DK Bashiru Kakurwa?
Nape aliiba mali gani?? Mmekalia kuchafua watu mbona hajafungwa jela kama aliiba!!?!!
Mnatetea wahuni wanaoshindwa kuheshimu sheria.
Bashiru hafai hata ukatibu kata
 
Unamjua vizuri uliyomtaja? Mama yako anamjua kwanza anajua kujenga hoja, alipiga moja tu siku walipomualika wakulima, uliona matokeo?
 
Unamjua vizuri uliyomtaja? Mama yako anamjua kwanza anajua kujenga hoja, alipiga moja tu siku walipomualika wakulima, uliona matokeo?
Siku ya wakulima hakuwa anajenga hoja, bali alikuwa analeta nongwa. Enzi zake na Magufuli Kila hoja iliyokuwa inatolewa ya aina hiyo walikuwa wanaita uchochezi. Usitake kuturudisha nyuma kwa huyo tapeli tukikumbuka siasa zao za kihayawani.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Acha tabia mbaya ya kuwazushia watu uongo. Unafikiri ni rahisi kiasi hicho mtu atoke ccm anakoshiba na kusaza, pasipo kulima; halafu aje huko ACT Wazalendo kula kwa jasho?

Waulize kwanza makada wote waliotoka huko ccm, na kukimbilia upinzani kwa mihemko; na baadaye kurejea tena kwa aibu kwenye hicho chama chao cha upigaji!
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi Mh Bashiru (Mb) ana mipango ya kutimkia ACT Wazalendo baada ya kukalishwa bech (Kuwekwa kando ya Madaraka) kwa muda mrefu.

Inafahamika wazi Katibu Mkuuu mstaafishwa hajarizika kabisa na kitendo (Vitendo) vya serekali ya awamu ya sita ya kutompatia nafasi za matumizi ya anasa kama nyumba nzuri, magari mazuri V8 na ulinzi wa uhakika tangu alipoondolewa katika nafasi za kufoka foka wakati yeye anastahili kutafuna keki ya Taifa.

Ndani ya ACT Wazalendo kahakikishiwa nafasi ya juu na uhakika wa nafasi ya kuisimanga serekali ya sasa.

Ngongo kwasasa Kibanda Maiti Zanzibar.
Hizi ni dalili za kukosa kazi, unapuyanga tu kwenye simu kwa kuwa una bando
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom