Unaleta udaku wa SAUTI KUBWA hapa?The unspecified report bears similar sentiments saying Tanzania would never consider Kenya as a possible destination for the president’s treatment.
So it goes, quoting an anonymous former presidential advisor: “We would never take a president to Kenya for medical treatment during a trade war… They would get all the information on the president’s condition and leak all the details or use it against you. They would never take him to Kenya – he doesn’t like Kenyans. The intelligence agents managing this don’t like Kenyans – they don’t even share intelligence.”
Surprisingly, an almost similar reason had previously been availed to SAUTI KUBWA in an attempt to explain the possible evacuation of the president from Nairobi to India. The sources had cited political and intelligence concerns.
What many sources unanimously agree on so far is Magufuli COVID-19 condition that exacerbated his existing cardiac complications. Magufuli, who is known to have a pacemaker, was developing signs of heart failure, the report says.
It claims that very few people know the president’s whereabouts so far and that all information and the management of its flow is in the hands of TISS.
It is understood that vice president Samia Suluhu has been in-charge of the presidency since 6th March when she was hurriedly called in from Zanzibar under tight security. On Tuesday this week she presided over a cabinet meeting for the first time since Magufuli took power in 2015. No mention was made of the president, and no minister enquired about him as the meeting deliberated on the 2021/22 budget discussions. The facts, reported in SAUTI KUBWA’s earlier story, were confirmed by the report.
Yupo nyumbani kwake.Magufuli yupo wapi?!
Mnyika ana nini? Failure mkubwa? Alilaaniwa na Baba yake eti akajifanya kuhudhuria mazishi ya baba yake wakati alikuwa hana upendo naye eti mwaka jana akakimbilia Mwanza kujifanya ni Chief wa Wasukuma! Utopolo mtupu!!Mawaziri wenu wote hawamfikii Mnyika.
Kwani lazima mbinu tulizotumia mwaka jana lazima zitumike tena this year??Mlimtoa Dr. Mipango mbiombio kuja kuwaprove watu wrong akiwa mgonjwa tena anakohoa.
Imeshindikana nini kufanya hivyo kwa huyu?
Mwaka juzi wakati amezushiwa ndani ya siku mbili tu alijitokeza na kuwaprove watu wrong, inashindikana nini sasa hivi?
Mnatumia nguvu kubwa sana.
Hata mimi nimekushusha sana kwa ulicho comment,Kupitia hili Saga, nimekushusha sana wewe dada! Nilikua nakuona wa maana kumbe mpuuzi.
Umeshupalia kifo kwa mtu kana kwamba utaishi milele.
CCM na JPM siwapendi ila sio level ya kumwombea kifo.
Haibadili chochoteKwani lazima mbinu tulizotumia mwaka jana lazima zitumike tena this year??
Mwambie Balozi Lissu akupe updates!!?Haibadili chochote
Asante,maana kama kumtakia mtu kifo kwako ni sawa!Hata mimi nimekushusha sana kwa ulicho comment,
Kwahiyo J J Mnyika anajimwambafy kwamba yeye ndio boss kwa sababu wakubwa zake wote wamekimbilia Ulaya.
Bure kabisa huyu dogo!
Kwa kipi? College drop out? Kupewa shushi na Mbowe? Tujuze kwa tusiyo ya fahamu ya Mnyika. Au unamzungumzia Mnyika mwingine na siyo JJMnyika?.Mawaziri wenu wote hawamfikii Mnyika.
Ni kweli hawamtambui, una lingine?Hivi CHADEMA inaulizia Rais Mbowe au wa Jamhuri? Maana kama ni JMT nnafikiri walishatangaza wazi hawamtambui
Achana nae huyu Dada, kazi ya kulea vikongwe huko UK imemfanya awe na akili za ovyo ovyo tu.Kwa kipi? College drop out? Kupewa shushi na Mbowe? Tujuze kwa tusiyo ya fahamu ya Mnyika. Au unamzungumzia Mnyika mwingine na siyo JJMnyika?.
SureKwanza mpaka JJ amefanya press ni dalili jiwe hayupo. Angekwepo angezuia
Alafu mkishajua yuko wapi then?Tunataka Serikali itwambie Rais Magufuli yupo wapi na anahali gani, kwani kwa mujibu wa katiba wananchi tuna haki ya kupata habari rais yupo wapi, kwani ameajiriwa na wananchi kisheria.
Mh. John Mnyika
Tunataka kumpa gawio kwani kuna ubaya?Alafu mkishajua yuko wapi then?
Kwa ujinga?Mawaziri wenu wote hawamfikii Mnyika.
Acha ujinga wewe mdada au we ndo mnyika mwenyewe? Nilini chadema wameanza kumpenda Jpm mpaka kumwulizia? Au wanataka kutia presha kusudi azidiwe hko alipo?Mawaziri wenu wote hawamfikii Mnyika.