Mara kwa Mara umeandikiwa barua na Msajili ujieleze kutokana na baadhi ya matamko yako kwa niaba ya chama. Umekuwa ukijibu barua zao,je mrejesho huwa unakuwa nini baada ya kujieleza.
Uliwafahamisha Tume ya uchaguzi kutojihusisha na chaguzi zozote na ukawakumbusha kuhusu kujibiwa barua inayohusu kutotambua fomu zilizojazwa za wabunge 19.
Mrejesho ukoje?
Je, unaogopwa au unadharaulika.
Uliwafahamisha Tume ya uchaguzi kutojihusisha na chaguzi zozote na ukawakumbusha kuhusu kujibiwa barua inayohusu kutotambua fomu zilizojazwa za wabunge 19.
Mrejesho ukoje?
Je, unaogopwa au unadharaulika.