Ulimi wamkaanga Mashinji wa CHADEMA ajisalimisha kwa Polisi kama alivyotakiwa kufanya

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Habari wanaJF,

Katibu Mkuu wa Chama Dkt. Vincent Mashinji, akiambatana na wasaidizi wake kutoka Makao Makuu ya Chama, mchana huu, amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, jijini Dar es Salaam, kuitikia wito wa Jeshi la Polisi uliotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, kuwa anatakiwa kufika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).

Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA alitakiwa kufika kituoni hapo kwaajili ya kuhojiwa kuhusu kauli yake aliyoitoa juu ya shambulio la kupigwa risasi kwa Mbunge Tundu Lissu.

Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

======

UPDATES

Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Mashinji amesema polisi wamemhoji wakitaka kujua kuhusu kauli zake za watu wasiojulikana kama anaweza kuwatambua.
 
Habari wanaJF,

Katibu Mkuu wa Chama Dkt. Vincent Mashinji, akiambatana na wasaidizi wake kutoka Makao Makuu ya Chama, mchana huu, amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, jijini Dar es Salaam, kuitikia wito wa Jeshi la Polisi uliotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, kuwa anatakiwa kufika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).

Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA alitakiwa kufika kituoni hapo kwaajili ya kuhojiwa kuhusu kauli yake aliyoitoa juu ya shambulio la kupigwa risasi kwa Mbunge Tundu Lissu.

Sasa huo ulimi ulimkaangia wapi??So far tunasubiria hali ya afya ya Tundu Lissu
 
Kwa akili za kawaida sana dereva wa Tundu angetakiwa na kila mwenye nia nzuri na Tundu atoe maelezo ambayo yangeweza kutoa mwanga katika uchunguzi. Nasema wenye nia njema nikiwajumlisha ndugu zake Tundu, CHADEMA, na wengine katika jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu hao washambuliaji, bila kujali ni wa aina gani, wangeweza kumtumia dereva kufanikisha mpango wao ovu. Dereva hakujeruhiwa hata kidogo hiyo inawezekana ni bahati yake tu. Dereva kasema aliwaona au aliliona gari likimfuatilia toka wakitoka bungeni! Dereva anadai alimwomba Tundu asishuke kutoka kwenye gari walipofika nyumbani kwa Tundu. Kwa nini huyu dereva alipoona anafuatiliwa asijisalimishe polisi? Kwa nini asimwambie Tundu apige simu kwa mtu yeyote wakiwa njiani? Cha ajabu ni kuwa CHADEMA hawataki kusikia dereva akitakiwa kuhojiwa. Ya Mungu mengi. Naamini uchunguzi utagundua kitu hapa. Kumkimbiza Nairobi kutibiwa kisaikolojia wakati logically anatakiwa atoe taarifa muhimu is another puzzle.
 
Kwa akili za kawaida sana dereva wa Tundu angetakiwa na kila mwenye nia nzuri na Tundu atoe maelezo ambayo yangeweza kutoa mwanga katika uchunguzi. Nasema wenye nia njema nikiwajumlisha ndugu zake Tundu, CHADEMA, na wengine katika jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu hao washambuliaji, bila kujali ni wa aina gani, wangeweza kumtumia dereva kufanikisha mpango wao ovu. Dereva hakujeruhiwa hata kidogo hiyo inawezekana ni bahati yake tu. Dereva kasema aliwaona au aliliona gari likimfuatilia toka wakitoka bungeni! Dereva anadai alimwomba Tundu asishuke kutoka kwenye gari walipofika nyumbani kwa Tundu. Kwa nini huyu dereva alipoona anafuatiliwa asijisalimishe polisi? Kwa nini asimwambie Tundu apige simu kwa mtu yeyote wakiwa njiani? Cha ajabu ni kuwa CHADEMA hawataki kusikia dereva akitakiwa kuhojiwa. Ya Mungu mengi. Naamini uchunguzi utagundua kitu hapa. Kumkimbiza Nairobi kutibiwa kisaikolojia wakati logically anatakiwa atoe taarifa muhimu is another puzzle.
Kwako? Ili usaidie nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili za kawaida sana dereva wa Tundu angetakiwa na kila mwenye nia nzuri na Tundu atoe maelezo ambayo yangeweza kutoa mwanga katika uchunguzi. Nasema wenye nia njema nikiwajumlisha ndugu zake Tundu, CHADEMA, na wengine katika jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu hao washambuliaji, bila kujali ni wa aina gani, wangeweza kumtumia dereva kufanikisha mpango wao ovu. Dereva hakujeruhiwa hata kidogo hiyo inawezekana ni bahati yake tu. Dereva kasema aliwaona au aliliona gari likimfuatilia toka wakitoka bungeni! Dereva anadai alimwomba Tundu asishuke kutoka kwenye gari walipofika nyumbani kwa Tundu. Kwa nini huyu dereva alipoona anafuatiliwa asijisalimishe polisi? Kwa nini asimwambie Tundu apige simu kwa mtu yeyote wakiwa njiani? Cha ajabu ni kuwa CHADEMA hawataki kusikia dereva akitakiwa kuhojiwa. Ya Mungu mengi. Naamini uchunguzi utagundua kitu hapa. Kumkimbiza Nairobi kutibiwa kisaikolojia wakati logically anatakiwa atoe taarifa muhimu is another puzzle.

Hapa tusifanyane watoto. Kuna kitu kisicho sawa yule dereva alishinda hospitali siku ya tukio, in maana polisi wameanza uchunguzi jana? walikuwa wansubiri nini siku zote hizo? mtu wa kwanza kuhojiwa tena siku ya tukio ilibidi awe Dereva kwa nini imewachukua siku zote hizo kutambua kuwa wana muhitaji dereva?
 
Kwa akili za kawaida sana dereva wa Tundu angetakiwa na kila mwenye nia nzuri na Tundu atoe maelezo ambayo yangeweza kutoa mwanga katika uchunguzi. Nasema wenye nia njema nikiwajumlisha ndugu zake Tundu, CHADEMA, na wengine katika jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu hao washambuliaji, bila kujali ni wa aina gani, wangeweza kumtumia dereva kufanikisha mpango wao ovu. Dereva hakujeruhiwa hata kidogo hiyo inawezekana ni bahati yake tu. Dereva kasema aliwaona au aliliona gari likimfuatilia toka wakitoka bungeni! Dereva anadai alimwomba Tundu asishuke kutoka kwenye gari walipofika nyumbani kwa Tundu. Kwa nini huyu dereva alipoona anafuatiliwa asijisalimishe polisi? Kwa nini asimwambie Tundu apige simu kwa mtu yeyote wakiwa njiani? Cha ajabu ni kuwa CHADEMA hawataki kusikia dereva akitakiwa kuhojiwa. Ya Mungu mengi. Naamini uchunguzi utagundua kitu hapa. Kumkimbiza Nairobi kutibiwa kisaikolojia wakati logically anatakiwa atoe taarifa muhimu is another puzzle.
Kuna mambo lazima yatokee kwanza....ukijaribu kuyazuia yasitokee ambapo yangeleka athari ambazo ni positive.... Siku yakitokea baada ya kuzuiwa sana, ni msiba!
 
Habari wanaJF,

Katibu Mkuu wa Chama Dkt. Vincent Mashinji, akiambatana na wasaidizi wake kutoka Makao Makuu ya Chama, mchana huu, amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, jijini Dar es Salaam, kuitikia wito wa Jeshi la Polisi uliotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, kuwa anatakiwa kufika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).

Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA alitakiwa kufika kituoni hapo kwaajili ya kuhojiwa kuhusu kauli yake aliyoitoa juu ya shambulio la kupigwa risasi kwa Mbunge Tundu Lissu.
Kunyamaza ni mwiko.

Tunajua mnataka tunyamaze.

Ndio maana unasema "ULIMI UMEMPONZA"
 
Kwa akili za kawaida sana dereva wa Tundu angetakiwa na kila mwenye nia nzuri na Tundu atoe maelezo ambayo yangeweza kutoa mwanga katika uchunguzi. Nasema wenye nia njema nikiwajumlisha ndugu zake Tundu, CHADEMA, na wengine katika jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu hao washambuliaji, bila kujali ni wa aina gani, wangeweza kumtumia dereva kufanikisha mpango wao ovu. Dereva hakujeruhiwa hata kidogo hiyo inawezekana ni bahati yake tu. Dereva kasema aliwaona au aliliona gari likimfuatilia toka wakitoka bungeni! Dereva anadai alimwomba Tundu asishuke kutoka kwenye gari walipofika nyumbani kwa Tundu. Kwa nini huyu dereva alipoona anafuatiliwa asijisalimishe polisi? Kwa nini asimwambie Tundu apige simu kwa mtu yeyote wakiwa njiani? Cha ajabu ni kuwa CHADEMA hawataki kusikia dereva akitakiwa kuhojiwa. Ya Mungu mengi. Naamini uchunguzi utagundua kitu hapa. Kumkimbiza Nairobi kutibiwa kisaikolojia wakati logically anatakiwa atoe taarifa muhimu is another puzzle.
Kwani baada ya tukio dereva aliyeyuka kama theluji? Inatakiwa ujiulize pia imekuaje katika hali ya kawaida tukio kama lile limetokea na imechukua muda mrefu mpaka polisi kumuhitaji dereva wakati ilitakawa awe amedhibitiwa kwa muda uleule. Udhaifu uko wapi hapo?
 
Naomba Polisi Wasimuachie Ili kulinda Usalama Wake. Angalau kwa Wiki mbili.
 
Hapa tusifanyane watoto. Kuna kitu kisicho sawa yule dereva alishinda hospitali siku ya tukio, in maana polisi wameanza uchunguzi jana? walikuwa wansubiri nini siku zote hizo? mtu wa kwanza kuhojiwa tena siku ya tukio ilibidi awe Dereva kwa nini imewachukua siku zote hizo kutambua kuwa wana muhitaji dereva?
Maajabu ya jeshi letu la polisi hayaishi. Hivi inawezekana muda wote dereva akiwa hospitali polisi wetu walikuwa hawana habari? Ni kama kuna mtu anabofya kifungo na polisi wanaruka, kipindi hiki watanzania tutakoma ubishi maana ukiona mwenzio ananyolewa kawai kuleta maji.
 
Kwani baada ya tukio dereva aliyeyuka kama theluji? Inatakiwa ujiulize pia imekuaje katika hali ya kawaida tukio kama lile limetokea na imechukua muda mrefu mpaka polisi kumuhitaji dereva wakati ilitakawa awe amedhibitiwa kwa muda uleule. Udhaifu uko wapi hapo?
Nakuunga mkono mkuu, hapo udhaifu upo kwenye vyombo vytu vya usalama.
 
Miaka ile tunakua sisi wahenga, kaka zetu na majirani zetu waliokuwa wamemaliza form four na kutaga mayai viza kama Bashite, watu walikua wanauliza....yaani kafail hadi upolisi hawezi kwenda?!

Kile kizazi ndo sasa hivi ni maRPC, sjui maACP superitendants and all those big names wa sasa hivi. Kazi kwelikweli
 
Kwa akili za kawaida sana dereva wa Tundu angetakiwa na kila mwenye nia nzuri na Tundu atoe maelezo ambayo yangeweza kutoa mwanga katika uchunguzi. Nasema wenye nia njema nikiwajumlisha ndugu zake Tundu, CHADEMA, na wengine katika jamii kwa ujumla. Hii ni kwa sababu hao washambuliaji, bila kujali ni wa aina gani, wangeweza kumtumia dereva kufanikisha mpango wao ovu. Dereva hakujeruhiwa hata kidogo hiyo inawezekana ni bahati yake tu. Dereva kasema aliwaona au aliliona gari likimfuatilia toka wakitoka bungeni! Dereva anadai alimwomba Tundu asishuke kutoka kwenye gari walipofika nyumbani kwa Tundu. Kwa nini huyu dereva alipoona anafuatiliwa asijisalimishe polisi? Kwa nini asimwambie Tundu apige simu kwa mtu yeyote wakiwa njiani? Cha ajabu ni kuwa CHADEMA hawataki kusikia dereva akitakiwa kuhojiwa. Ya Mungu mengi. Naamini uchunguzi utagundua kitu hapa. Kumkimbiza Nairobi kutibiwa kisaikolojia wakati logically anatakiwa atoe taarifa muhimu is another puzzle.
Kwani baada ya tukio dereva aliyeyuka kama theluji? Inatakiwa ujiulize pia imekuaje katika hali ya kawaida tukio kama lile limetokea na imechukua muda mrefu mpaka polisi kumuhitaji dereva wakati ilitakawa awe amedhibitiwa kwa muda uleule. Udhaifu uko wapi hapo?
 
Back
Top Bottom