JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,023
..Zenj ni ndogo mno. hawa siyo saizi yetu kabisa kuungana nao.
..sasa hiyo serikali ya muungano itahusisha mambo yepi, na itachangiwa namna gani?
..hivi mnategemea Gavana wa Tanganyika atakubali kupokea maelekezo ya Raisi wa Muungano aliyetokea Zanzibar?
..nitaendelea kusisitiza kwamba ni bora tu muungano uvunjwe na tushirikiane na wa-Zenj kupitia East African Community.
..sasa hiyo serikali ya muungano itahusisha mambo yepi, na itachangiwa namna gani?
..hivi mnategemea Gavana wa Tanganyika atakubali kupokea maelekezo ya Raisi wa Muungano aliyetokea Zanzibar?
..nitaendelea kusisitiza kwamba ni bora tu muungano uvunjwe na tushirikiane na wa-Zenj kupitia East African Community.