Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Ndugu wadau hivi kwa hali inayoendelea bungeni uundwaji wa katiba mpya unawezekana kweli? Napata mashaka kwa sababu zifuatazo:
1. Katiba zote zilizopita ambazo zinamapungufu zilitungwa na chama kimoja CCM, Kwahiyo kutoka nje kwa wabunge wa upinzani kwa sababu ya kunyimwa haki ya kusikilizwa kunaipa nafasi tena CCM kupitisha mswada utakaopelekea katiba nyingine yenye mapungufu.
2. Baadhi ya wabunge wanajadili swala la katiba katika misingi ya ushabiki wa vyama hivi kweli maeneo msingi kama vipaombele vya taifa yatapata nafasi?
3. Kama maono ya wabunge, wanaharakati, wanasheria na wananchi kwa umla yanapuuzwa, hivi huo mswaada unaoendelea kujadiliwa ni kwa ajili ya nani?
1. Katiba zote zilizopita ambazo zinamapungufu zilitungwa na chama kimoja CCM, Kwahiyo kutoka nje kwa wabunge wa upinzani kwa sababu ya kunyimwa haki ya kusikilizwa kunaipa nafasi tena CCM kupitisha mswada utakaopelekea katiba nyingine yenye mapungufu.
2. Baadhi ya wabunge wanajadili swala la katiba katika misingi ya ushabiki wa vyama hivi kweli maeneo msingi kama vipaombele vya taifa yatapata nafasi?
3. Kama maono ya wabunge, wanaharakati, wanasheria na wananchi kwa umla yanapuuzwa, hivi huo mswaada unaoendelea kujadiliwa ni kwa ajili ya nani?