Kwa hiyo unanitishia ba'mkwe au unataka kumuozesha bintiyo Passion Lady kwa nani? Kumbuka matumizi yote anapata kwangu tangu Ruttashobolwa amkimbie yapata miezi minne iliyopita. Angalia isijekuwa mkeo measkron ndiye yule Banana Zorro aliyemuimba kuwa hataki kumuozesha biniye
tatizo ni mseto yeye hataki
ingekua single kidogo ningeshtuka
naskia Chimbuvu yupo na Lady doctor?!!ya kweli hayo?
Hayataki meno yake na kucha zake huyo Slave ?
Hebu njoo ndani maramoja
!!! ??? !!! ???
Koma kabisa
Muzee nini mubaya walikuwa wanapelekana theater hao.
acha unoko basii
Nipe rushwa.......
Koma kabisa
Hebu njoo ndani maramoja
!!! ??? !!! ???
mmh! natafuta bastola .. naweza pata wapi?