ngoja nikuwaooooo honey
wamenisakama huku mpaka
nikakata tamaa,oooh karudiana
na Madame B khaaaa!!wellcome back swr!!
Umemtelekeza binamu yangu Passion Lady muda wote sasa unajianya kumpeetipeti eeehh au nimwambie agome
hahhahahahaha your wrong my akanana sijamtelekeza alikuwa ana wapima tuu.
Ngoja aje hapa binamu yangu aje hapa aseme mwenyewe maana haki yake matrimonial right hakuipata
Lakini hilo tangazo lilitakiwa litolewe baada ya pande zote kushirikishwa wewe huna haki ya kumtangaza mteja wangu yuko single bali una haki ya kujitangaza huko single hivyo ulikosea kabisa maana hujamshirikisha.
kumbuka kuwa hakuna anaye beba haki ya mwenzie bali kila mtu ana beba haki yake.
Nakushauri umuombe radhi Mamndenyi kwa kuingilia haki yake na maamuzi yake,
Hizi taarifa za defamation hapa hakuna tunasema ukweli bana
Kama mtu kaachwa anaruhusiwa kutamkwa kuwa yuko single na wanaume ambao wako single wanahitajika kuambiwa kuwa fulani kaachwa na yuko single ili wapambane wapate nafasi yankumpata na ndo linalofanyika kwa Mamndenyi
Wapo akina Arushaone na Bishanga na Slave na Vin Diesel wako single lazima waambiwe kuwa Mamndenyi ameachwa bana
Au loya unaona hapo kuna kosa
I can see now u're happy as always...
Mr Rocky wewe unajambo lako mtimani, huwezi tamka hadharani kuwa mie nipo singo,wakati unajua nnao wawili.
Ndiyo maana ukawa loya,
Nangojea aniombe radhi hapa hapa sebuleni.
Asante Ruttashobolwa kwa ufafanuzi wa kina na unaoeleweka.
Hapo lazima aise niongee vyema na binamu zangu Passion Lady na Paloma na Madame B bana
heheheee!!binamu yangu kumbe
unanipenda,ilikuuma sana,ila ndio hivyo
tubembeleze upate kibali cha kuishi na Dena Amsi
kwa raha atiii!!
Hapo lazima aise niongee vyema na binamu zangu Passion Lady na Paloma na Madame B bana
heheheee!!binamu yangu kumbe
unanipenda,ilikuuma sana,ila ndio hivyo
tubembeleze upate kibali cha kuishi na Dena Amsi
kwa raha atiii!!
Acha kumdanganya mwenzio!
Hapo lazima aise niongee vyema na binamu zangu Passion Lady na Paloma na Madame B bana
Halafu mwambie loya Ruttashobolwa aje taratibu maana sikawii kumnyang'anya binamu yangu
amekusikia!!binamu una mkwara duuh!!
Bora asikie kwa herufi kubwa kabisa maana naona amekuja na mkwara mzito sana humu
kumbe ndiyo tabia yake..!
Ngoja nimuandalie MSETO hata kama hana malaria lazima anywe doze yote kwa wakati mmoja haiwezekani anisumbue bure hadi naita Ambulance