katiba mpya ya chitchat


honey Mr Rocky ni shemejio binamu
angalia upande wa pili wa shilingi!!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja aje hapa binamu yangu aje hapa aseme mwenyewe maana haki yake matrimonial right hakuipata

heheheee!!binamu yangu kumbe
unanipenda,ilikuuma sana,ila ndio hivyo
tubembeleze upate kibali cha kuishi na Dena Amsi
kwa raha atiii!!
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana ukawa loya,
Nangojea aniombe radhi hapa hapa sebuleni.
Asante Ruttashobolwa kwa ufafanuzi wa kina na unaoeleweka.

 
Last edited by a moderator:
Hapa unaingilia uhuru wangu
umeshaniacha imetosha.

 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Bora asikie kwa herufi kubwa kabisa maana naona amekuja na mkwara mzito sana humu

ana haki hiyo lakini
we si uliona binamu yako
nilivyokua nasalandiwa,lazima
aje kwa kujiamini wakae mbali atii!!
 
kumbe ndiyo tabia yake..!
Ngoja nimuandalie MSETO hata kama hana malaria lazima anywe doze yote kwa wakati mmoja haiwezekani anisumbue bure hadi naita Ambulance

Bora umegundua nia.njema.niliyokuwa nayo kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…