Naitazama katiba mpya kama swala lenye ulazima na tija sana katika uendeshaji wa nchi: Sababu kuu ni moja sheria zetu nyingi zinapwaya na kuhitaji marekebisho kila mara ila sidhani kama kuna mambo muhimu matatu ya kushughulikia nchi hii Katiba itaingia katika miaka mitatu ijayo.
Nadhani kuwe na marekebisho ya acts muhimu tatu hadi tano lakini katiba kwa ujumla wake twende nayo hii, moja iwe ya elimu, ya pili siasa na nyingine (nitapenda kama watu watashauri katika thread hii).
Nadhani ukiangalia nchi kama South Africa (ambao huenda wakawa na Katiba bora kuliko zote Africa) matumizi ya uhuru kwako yamekua mabaya mfano maandamano yamekua kichaka cha uhalifu na unyang'anyi wa mali za watu. Sababu ikiwa katiba yao ni "copy-paste" ya katiba za nchi zilizoendelea na hivo haiko "suitable" na uhalisia wa watu wa Afrika ya Kusini. Kitakwimu makadirio ya Investec Bank Ltd, ni kwamba uchumi utakua kwa chini ya asilimia 4 sababu ya "vuguvugu la kisiasa". Unategemea kwa urahisi tu nchi yenye katiba nzuri kama Afrika kusini huwezi kuta vitu kama hivi lakini in the African Case vipo ndomana nadhani katiba mpya inahitaji muda.
Rasimu ya warioba ilikua nzuri sana lakini ile recruitment ya wabunge wa katiba ilifanya katiba isipite hadi leo kweli kuna mtu anataka kupoteza pesa tena? Bila kubadili acts hizi io "recruitment" tu ya wabunge wa katiba itatujazia watu wasio elewa mapana ya sheria.
Nakaribisha matusi,kejeli,dharau na majadiliano yenye tija vyote kwa pamoja.
Nadhani kuwe na marekebisho ya acts muhimu tatu hadi tano lakini katiba kwa ujumla wake twende nayo hii, moja iwe ya elimu, ya pili siasa na nyingine (nitapenda kama watu watashauri katika thread hii).
Nadhani ukiangalia nchi kama South Africa (ambao huenda wakawa na Katiba bora kuliko zote Africa) matumizi ya uhuru kwako yamekua mabaya mfano maandamano yamekua kichaka cha uhalifu na unyang'anyi wa mali za watu. Sababu ikiwa katiba yao ni "copy-paste" ya katiba za nchi zilizoendelea na hivo haiko "suitable" na uhalisia wa watu wa Afrika ya Kusini. Kitakwimu makadirio ya Investec Bank Ltd, ni kwamba uchumi utakua kwa chini ya asilimia 4 sababu ya "vuguvugu la kisiasa". Unategemea kwa urahisi tu nchi yenye katiba nzuri kama Afrika kusini huwezi kuta vitu kama hivi lakini in the African Case vipo ndomana nadhani katiba mpya inahitaji muda.
Rasimu ya warioba ilikua nzuri sana lakini ile recruitment ya wabunge wa katiba ilifanya katiba isipite hadi leo kweli kuna mtu anataka kupoteza pesa tena? Bila kubadili acts hizi io "recruitment" tu ya wabunge wa katiba itatujazia watu wasio elewa mapana ya sheria.
Nakaribisha matusi,kejeli,dharau na majadiliano yenye tija vyote kwa pamoja.