Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
Ni rahisi mno kuona mrejesho uliotokea kwenye SERIKALI nyingi Afrika baada ya mahakama kuu Kenya kutengua uchaguzi uliompa ushindi Kenyatta....
Sikuona pongezi zozote toka serikali zilizoko madarakani.... Ni habari za mshtuko kwa wengi ambao walitegemea matokeo tofauti....
Furaha na shangwe nyingi zimetoka kwa wapinzani
Tanzania tuko kwenye mchakato unaosuasua wa katiba mpya..lakini kwa haya yaliyotokea Kenya na hali yetu ya kisiasa kwasasa....
Tuandike patapotea.... Hakuna katiba mpya tena halafu huru
Kenya wameweza kwakuwa kuna kifungu kwenye katiba kinachotoa uwezo wa matokeo ya urais kuhojiwa na kupingwa mahakamani.... Kifungu hiki kimepatikana.
Kwa gharama kubwa!
Wengi tunatamani katiba kama ya Kenya... Lakini bado tuna njia ndefu halafu ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuona pongezi zozote toka serikali zilizoko madarakani.... Ni habari za mshtuko kwa wengi ambao walitegemea matokeo tofauti....
Furaha na shangwe nyingi zimetoka kwa wapinzani
Tanzania tuko kwenye mchakato unaosuasua wa katiba mpya..lakini kwa haya yaliyotokea Kenya na hali yetu ya kisiasa kwasasa....
Tuandike patapotea.... Hakuna katiba mpya tena halafu huru
Kenya wameweza kwakuwa kuna kifungu kwenye katiba kinachotoa uwezo wa matokeo ya urais kuhojiwa na kupingwa mahakamani.... Kifungu hiki kimepatikana.
Kwa gharama kubwa!
Wengi tunatamani katiba kama ya Kenya... Lakini bado tuna njia ndefu halafu ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app