Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Kama taifa letu litapata Katiba mpya basi tatizo la umeme hapa nchini Tanzania litakwisha kabisa. Maana kama tutakuwa na mawaziri mizigo na wazembe wenye harufu za ufisadi basi itakuwa ni suala kuwaondoa kwa nguvu ya umma tu.
Rasimu ya Warioba ilipendekeza Mawaziri wasiwe wanateuliwa kati ya wabunge, bali wawe na mikataba na wakishindwa basi wananchi wanawaondolewa kwa kutotekeleza mikataba ya ajira zao.
Makamba amefeli ndani ya siku 60 lakini CCM inamchekea tu.
Tulisahau mgao wa umeme kabisa.
Rasimu ya Warioba ilipendekeza Mawaziri wasiwe wanateuliwa kati ya wabunge, bali wawe na mikataba na wakishindwa basi wananchi wanawaondolewa kwa kutotekeleza mikataba ya ajira zao.
Makamba amefeli ndani ya siku 60 lakini CCM inamchekea tu.
Tulisahau mgao wa umeme kabisa.