Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Lipumba na Seif lazima tuwaogope kama tunavyoogopa CCM. Wapo tayari kwa lolote, ili wao na familia zao waishi maisha mazuri.
hivi lipumba ana familia kweli? maana nijuavyo mie familia huundwa na baba, mama na mtoto/watoto