Naweza kuwa natoka ne ya mada lakini naomba kujuzwa au kuelimishwa.
From CHADEMA, NCCR na wataka mabadiliko wengine yote.
NB.
- Nini hasa kilitakiwa au kinatakiwa kufanyika ?
- Assume CDM ndio wangekuwa na nchi na tuko atia hali hii ya kaitba tata hasa process gani zingefanyika. zingefanyika kivipi? washiriki wakuu wa kuandika na kukusanya maoni ya katiba mpya wangepatikana vipi ? Nini hsa kinatakiwa kufanyika tofauti na JK ( CCM )wanavyopendekeza? Jiulize na mswali mengine mengi yanyoendana na hayo.....
Mimi ni mmoja wa wataka mabdiliko( Sio ya Kisiasa tu) lakini so far niko gizani. Ebu wana Jf nifumbueni macho zaidi ni wapi CCM na Jk wanapokosea na ni upi ambao ni mwelekeo sahihi kutokana na baadhi ya maswali niliyouliza pale juu.
acha uvivu tafuta ho2ba ya lissu soma... Kuna mapendekezo hop maswal yako yatajibiwa kwa kias kikubwa