Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

Baada ya matokeo ya "Bora Katiba" kupita, nafanya tuu mapitio, tuunganisheni nguvu, kuwashauri wenzetu, wakubali matokeo, tusonge mbele!.

Pasco.
 
Baada ya Mhe. Tundu Lissu kuukwaa urais TLS, kuna watu wanadhani sasa ndio matatizo yote ya kisheria, Lissu atacama liza, no way, japo Lissu is brilliant lawyer, ila Lisu kama mwanasheria is not panacea wa matatizo yote ya kisheria yanayolikabili taifa hili, one thing for sure that Lissu will do to TLS, he'll make TLS being felt kuwa it really exist, before that, TLS ilikuwa ipo ipo tuu kama haipa kwa Tundu Lissu ni mzuri zaid kwenye siasa kuliko kwenye sheria. Hivyo kuwa rais wa TLS usitegemee makubwa sana kivile kwa sababu Lissu needs guidence kama alivyo Magufuli!, they are both too impulsive, hivyo tusimtegemee awe kama Malaika, asije kuipeleka TLS chaka kama alivyoipeleka chaka Chadema kwenye Katiba.

Paskali
 
Baada ya Lissu kuukwaa urais TLS, kuna watu wanadhani Lissu kama mwanasheria is so good, no way Tundu Lissu ni mzuri kwenye siasa kuliko kwenye sheria. Hivyo kuwa rais wa TLS usitegemee awe Malaika.

Paskali

Pascal,

Ushabiki uliopitiliza hauksaidii lolote unapokaa mwenyewe kwa uhuru ukitafakari unayonena. Hii haikuwa hoja yako kabla ya uchaguzi na wala hakuna aliyekwambia kwamba wanadhani Tundu Lissu atakuwa mzuri.

Acha watu washangilie na usibadili hoja kwa sababu hoja kuu sasa hivi ni kuumbuka kwa waliojaribu kila kona kuzuia Tundu Lissu asifike hapo alipo.

Kama ni mbovu huwezi kutufundisha tutaona. Acha taifa lishangilie kwanza maamuzi ya mawakili wasomi.

Nimekujibu hivi nikijua kwamba wewe ni msomi.
 
Pascal,kitila, mwanakijiji mnatumia akili nyingi kupata mawazo madogo sana. Ccm hâta wajinga kabisa wanawajua vyema watu wa" animal farm". Pascal unapoteza muda cdm wapo dunia ingine wanaprove point kwa kupiga KO km gwajima. Muulize mwakyembe alivyokwisha vibaya km kibaka mzee. Hiyo hâta mwananchi mjinga haihitaji tena proof kwa cdm. Ils kwa vilaza sa ccm.
 
Baada ya Mhe. Tundu Lissu kuukwaa urais TLS, kuna watu wanadhani sasa ndio matatizo yote ya kisheria, Lissu atacama liza, no way, japo Lissu is brilliant lawyer, ila Lisu kama mwanasheria is not panacea wa matatizo yote ya kisheria yanayolikabili taifa hili, one thing for sure that Lissu will do to TLS, he'll make TLS being felt kuwa it really exist, before that, TLS ilikuwa ipo ipo tuu kama haipa kwa Tundu Lissu ni mzuri zaid kwenye siasa kuliko kwenye sheria. Hivyo kuwa rais wa TLS usitegemee makubwa sana kivile kwa sababu Lissu needs guidence kama alivyo Magufuli!, they are both too impulsive, hivyo tusimtegemee awe kama Malaika, asije kuipeleka TLS chaka kama alivyoipeleka chaka Chadema kwenye Katiba.

Paskali

mAkOsA yA kIuAnDiShI nI mEnGi sAnA pAsKaLi, KuLiKoNi?
 
Pascal,kitila, mwanakijiji mnatumia akili nyingi kupata mawazo madogo sana. Ccm hâta wajinga kabisa wanawajua vyema watu wa" animal farm". Pascal unapoteza muda cdm wapo dunia ingine wanaprove point kwa kupiga KO km gwajima. Muulize mwakyembe alivyokwisha vibaya km kibaka mzee. Hiyo hâta mwananchi mjinga haihitaji tena proof kwa cdm. Ils kwa vilaza sa ccm.
Mkuu Nikolai, tuko kwenye dunia inayohitaji matokeo na sio maneno. Yaani results oriented, utendaji unaoleta matokeo, hivyo ukizungumzia mafanikio ya Chadema yanapimwa kwa matokeo na sio kwa maneno.

Matokeo yenyewe sio matokeo tuu ya jambo lolote bali matokeo ya utekelezaji mipango mkakati waliojiwekea, strategic objectives, hivyo sipotezi muda, kazi yangu ni kusema tuu.

Paskali
 
Nawakumbusha tuu members humu, kuna baadhi ni wanachama, wafuasi na washabiki wa Chadema, baadhi wanawaamini sana viongozi wao hadi kuwaabudia bila kujijua hivyo ukimkosoa kiongozi wa Chadema anayeabudiwa, unakuwa kama umetangaza vita, watakushukia.

Subject matter ya uzi huu ni makosa ya kiufundi ambayo Chadema imeyafanya kumtegemea mtu mmoja mwisho wa siku chama kizima kiliingizwa chaka.

Kwa vile vyama vinaongozwa na binaadamu na sio malaika, sio vibaya vyama vikawa na viji oversight committees zake ku watch kauli, maneno na matendo ya viongozi wake na kupima matokeo ya kauli, maneno na matendo ya viongozi hao.

P.
 
Relax P, Lisu anaijua sheria kukuzidi wewe.
Tundu Lissu is a guru in law anajua kile anachosema and what would be its consequences hivyo huna haja ya kumfundisha.
It's true, TL, ni guru wa law, na wala simfundishi kitu, ila pia we are humans na sio malaika, sometimes ma Guru, wanaweza kusaidiwa na ma layman!.
Kwenye bandiko hili, kuna kosa limefanywa na guru, mimi ni layman tuu, nimeliona kosa la guru, matokeo ya kosa hilo, we as a nation, we all suffer the consequences kwa kuungarimia mchakato huu, and finally we ended up with nothing!.
P
 
ndg uko sawa kabisa nakusapoti kwa hilo hawa ndg zetu hawana mipango madhubuti ya kujisaidia ili wafike mbali matokeo yake wanaishia kuanguka na kupoteza ubora wa kisiasa
 
Soma hapo kwenye hoja za mjadala huu, kama Tundu Lissu ndie bingwa wenu wa sheria, hapa amekosolewa, ndio itakuwa JJ?!.
P
 
NAWE NI MZINGUZI TU UNATUSUMBUUUA!!!UNAAANDIKA, HAKUNA LOLOTE, WEWE NI LISISIEMU LILILOLUBUHU
 
Back
Top Bottom