Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,495
- 113,592
- Thread starter
- #501
Baada ya matokeo ya "Bora Katiba" kupita, nafanya tuu mapitio, tuunganisheni nguvu, kuwashauri wenzetu, wakubali matokeo, tusonge mbele!.
Pasco.
Pasco.
Baada ya Lissu kuukwaa urais TLS, kuna watu wanadhani Lissu kama mwanasheria is so good, no way Tundu Lissu ni mzuri kwenye siasa kuliko kwenye sheria. Hivyo kuwa rais wa TLS usitegemee awe Malaika.
Paskali
Baada ya Mhe. Tundu Lissu kuukwaa urais TLS, kuna watu wanadhani sasa ndio matatizo yote ya kisheria, Lissu atacama liza, no way, japo Lissu is brilliant lawyer, ila Lisu kama mwanasheria is not panacea wa matatizo yote ya kisheria yanayolikabili taifa hili, one thing for sure that Lissu will do to TLS, he'll make TLS being felt kuwa it really exist, before that, TLS ilikuwa ipo ipo tuu kama haipa kwa Tundu Lissu ni mzuri zaid kwenye siasa kuliko kwenye sheria. Hivyo kuwa rais wa TLS usitegemee makubwa sana kivile kwa sababu Lissu needs guidence kama alivyo Magufuli!, they are both too impulsive, hivyo tusimtegemee awe kama Malaika, asije kuipeleka TLS chaka kama alivyoipeleka chaka Chadema kwenye Katiba.
Paskali
Mkuu Nikolai, tuko kwenye dunia inayohitaji matokeo na sio maneno. Yaani results oriented, utendaji unaoleta matokeo, hivyo ukizungumzia mafanikio ya Chadema yanapimwa kwa matokeo na sio kwa maneno.Pascal,kitila, mwanakijiji mnatumia akili nyingi kupata mawazo madogo sana. Ccm hâta wajinga kabisa wanawajua vyema watu wa" animal farm". Pascal unapoteza muda cdm wapo dunia ingine wanaprove point kwa kupiga KO km gwajima. Muulize mwakyembe alivyokwisha vibaya km kibaka mzee. Hiyo hâta mwananchi mjinga haihitaji tena proof kwa cdm. Ils kwa vilaza sa ccm.
Relax P, Lisu anaijua sheria kukuzidi wewe.
It's true, TL, ni guru wa law, na wala simfundishi kitu, ila pia we are humans na sio malaika, sometimes ma Guru, wanaweza kusaidiwa na ma layman!.Tundu Lissu is a guru in law anajua kile anachosema and what would be its consequences hivyo huna haja ya kumfundisha.
concord |
CV yangu ipo kila kona, ila kuna wengine, they are good at what they do kuliko wakiteuliwa uteuzi wowote.Hivi cv yako haiko huko mbele Pascal Mayalla