JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Pasco,
..mawazo yako ni sawa na ya Dr.Kashilila, katibu wa bunge.
..tofauti ndogo ni kwamba Dr.Kashilila amekwenda mbali na kueleza kwamba baada ya mswada kusimamishwa na hoja kutolewa kura zingepigwa. sasa mtego upo hapo kwenye KURA.
..bila kutueleza kwamba you have some info that we dont have, kwamba kulikuwepo na wabunge wa kutosha waliokuwa wamepania mswada usipite ikiwa CDM wange-invoke hicho kifungu unachosema, then naweza kukubaliana na hoja uliyoileta hapa kwamba CDM made a mistake.
..vinginevyo inawezekana kabisa CDM walishajua watashindwa kwa namna yoyote ile, na wakaamua kufanya hicho walichoweza kufanya.
NB:
..naomba nikukumbushe kwamba you can invoke kila pingamizi unalolitaka ndani ya bunge, lakini at the end of the day lazima uwe na KURA za kutosha.
..hivi kuna wakati wowote ule in this whole process ambapo CDM wamejaribu kuwashawishi/kuwa-rectruit wabunge wa vyama vingine wawaunge mkono ktk kuupinga mswada wa katiba?
..mawazo yako ni sawa na ya Dr.Kashilila, katibu wa bunge.
..tofauti ndogo ni kwamba Dr.Kashilila amekwenda mbali na kueleza kwamba baada ya mswada kusimamishwa na hoja kutolewa kura zingepigwa. sasa mtego upo hapo kwenye KURA.
..bila kutueleza kwamba you have some info that we dont have, kwamba kulikuwepo na wabunge wa kutosha waliokuwa wamepania mswada usipite ikiwa CDM wange-invoke hicho kifungu unachosema, then naweza kukubaliana na hoja uliyoileta hapa kwamba CDM made a mistake.
..vinginevyo inawezekana kabisa CDM walishajua watashindwa kwa namna yoyote ile, na wakaamua kufanya hicho walichoweza kufanya.
NB:
..naomba nikukumbushe kwamba you can invoke kila pingamizi unalolitaka ndani ya bunge, lakini at the end of the day lazima uwe na KURA za kutosha.
..hivi kuna wakati wowote ule in this whole process ambapo CDM wamejaribu kuwashawishi/kuwa-rectruit wabunge wa vyama vingine wawaunge mkono ktk kuupinga mswada wa katiba?