Kati ya Vitz na Passo ipi ina heshima?

Kati ya Vitz na Passo ipi ina heshima?

Gari ni gari tu, ili mradi uwe na uwezo wa kulilipia "Insurance" na "Motor Vehicle".
 
ndio gari za kijanja hizo unachotakiwa kuifunga woofer ule mziki ukiwa unaendesha...sio unakua na gari unashindwa hata kupiga misele kwenye foleni unaizima...vitz advantage yake over passo ni ngumu otherwise ni gari ile ile..
 
Tunaomba kujua jinsia yako maana hizo gari(baby walker) ni za kike, kwa fuel consumption ziko too economy kama bajaji na mara nyingi magari hayo hutumiwa na majobless na wanawake magoalkeeper

mkuu hata picha huoni
 
Tumalize hivi gari sio ........
 

Attachments

  • 1434903257514.jpg
    1434903257514.jpg
    31.4 KB · Views: 464
ndio gari za kijanja hizo unachotakiwa kuifunga woofer ule mziki ukiwa unaendesha...sio unakua na gari unashindwa hata kupiga misele kwenye foleni unaizima...vitz advantage yake over passo ni ngumu otherwise ni gari ile ile..

Mkuu hii buti lazma ijae mziki tu, hakuna kingine.
 

Attachments

  • 1434903629510.jpg
    1434903629510.jpg
    19.6 KB · Views: 462
hivi mwenye kitambi na mwenye SIX PACKS ....nani zaidiiiii?
 
Mkuu hii buti lazma ijae mziki tu, hakuna kingine.

baba fanya haraka...chukua inchi 14 tu inatosha sana..yani maisha yanakua mazuri sana kwenye hizi gari..si unaona gx 100 watu wanayauza hadi milioni 4 na bado wateja hadimu..
 
Mimi nina Starlet yangu imetulia sana. Heshima juu
 
Hizo zote ni gari za Wanawake!

images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images


Tusiwe isolated, tuujue ulimwengu na kinachoendelea. Hizo Vitz na Paso ni kubwa sana ukilinganisha na sample nilizoeleta hapo juu gari zinazopendwa na wengi sasa. Gari gharama nafuu na baada ya miaka kati ya saba na kumi unanunua chuma kipya kingine kinachoendana na wakati.

Kuna bado ambao tunafikiria ya karne iliyopita. Gazi hizo ndizo zinazotamba katika ulimwengu wa nchi zilizoendelea kwa sifa sifuatazo:


  1. Hutumia Petrol kidogo sana.
  2. Nyingi hutumia umeme badala ya fuel.
  3. Parking haina shida.
  4. Parts sio ghali.
  5. Hununuliwa kwa gharama nafuu.
  6. Gari inayofaa kwenda nayo kazini sababu abiria mmoja hakuan sababu kuwa na gari kubwa.

Hayo na mengine hufanya magari hayo yapendwe na wengi hata wenye nafasi nzuri hupendelea magari madogo ambayo kwa sifa za hapo juu na nyingine mtakazoongeza wadau ni magari poa sana.
 
baba fanya haraka...chukua inchi 14 tu inatosha sana..yani maisha yanakua mazuri sana kwenye hizi gari..si unaona gx 100 watu wanayauza hadi milioni 4 na bado wateja hadimu..

Sana mkuu. Iyo 14 inch ni screen au
 
Yenye Heshima Ni " HUMMER " Peke Yake Na Hizo Zingine Hazina Tofauti Na Bajaji Na Siku Nyingine Ukija Humu Uje Na Idea Za Benz, Lamborgine, Jaguar, BMW, Helicopter Na Ndege Tena Nayo Ni Ile Aina Ya Concord Tu Sawa?
Hahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom