bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
Wewe utakuwa na spacio au raum ndo maana umeleta hii pointless
Hahaha mimi nina rav 4 kilitime cc 1800 basi najisikia raha mwenyewe nikikaendesha kagari kangu
Wewe utakuwa na spacio au raum ndo maana umeleta hii pointless
Mmh iyo nchi ya ahadi ni wapi apo mkuu
Zote Baby walker
...MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Li
jamani nauliza ulaji wa mafuta wa gari zote hizi mbili paso na vits
Nahisi huo mdomo uko mombasa ndio unakula mafuta kama jinalako mjib mwenzii vizur kama huna jib kula kimyaHuo mdomo wa gari uko wapi mpaka ile mafuta?
Hivyo vyote vilienda na mafuriko.sijaviona siku nyingi.bado vipo??ngoja nimuulize house girl wangu nilimnunulia cha kwenda nacho sokoni kununulia bamia na ngogwe.nitarudi baada ya muda
Kati ya Vitz na Passo ipi ina
heshima?
Jibu: huku kwetu heshima anakuwa nayo Dereva/mwendeshaji. Gari ni mashine tu ya kusafiria.
Huku kwetu kuna mbwa kibao wanaendesha magari na pikipiki, lakini bado heshima yao ni MBWA TU.
Dharau hizo!! Za wanawake kwani zina matiti???
Passo na vitz ni just usafiri na siyo gari ,gari bwana huanzia angalau cc 1300 kuendelea chini ya hapo ni baby walker tu
Dharau hizo!! Za wanawake kwani zina matiti???