Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,960
Hivyo vyote vilienda na mafuriko.sijaviona siku nyingi.bado vipo??ngoja nimuulize house girl wangu nilimnunulia cha kwenda nacho sokoni kununulia bamia na ngogwe.nitarudi baada ya muda
Duh... Mafuriko... Hatarii.... Yaani mafuriko yanaweza yakakuchukuwa hadi wewe... Sasa sijui na wewe ni KIVITZ..!!??