Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,425
- 9,824
Katika jambo lililonishinda kabisa ni kuomba hela. Nitaomba kazi ila sio hela. Hata nikiwa na shida akili inafikiria kibarua cha deiwaka cha chap chap ila sio kuomba hela
Wewe nae ni mmoja wao? Maana na namna ya uhandishi huu kuna namna hapa..🤣Ukisema sina anakuuliza lini utakua nayo nikucheki
una msimbazi wa karibu apo kiongozi?Toa tu ndio uanaume huo wanasema.
Kuombwa pesa is unkwepekapo act hahahahaWakuu hali ishakuwa tete,, mnafanyaje kuwakwepa hawa wapiga mizinga wanaoamini wao tu ndo wenye shida na maokoto.
Sasa fanya hivi mtu akiomba pesa mwambie sina ngoja nikukopee kwa rafiki utanirudishia nimpe huyo harudi tena mkuu kuomba hela hvyo ww anza kuwakopesha.Yaani Kila siku Kuna mtu anaomba pesa hadi simu unaiogopa
Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Watu wanajikuta wanaishi kwa bajeti sana siku hizi kiasi kwamba ubinafsi unawavaa wanasahau kuwa mwenye shida akikuomba na unachokidogo cha kutoa basi usianze visingizio. Toa itajulikana mbele. Leo umenipiga tafu 10,000 kesho utanikuta mazingira ya kukusaidia milioni.Kama kweli huna pesa mwambie ukweli kwamba huna pesa, ila kama unazo na una uwezo wa kumsaidia lakn bado ukakataa sio sawa, huwezi kusaidia kila mtu katika hii dunia lakn inapotokea nafasi ya kusaidia na umethibitisha kweli muombaji ana changamoto mi naona saidia tu.
personally mm nikisaidia alafu mtu akasema asante sana huwa napata feelings flani za furaha na hunitokea automatically.
Bottom line kama unaweza kusaidia fanya hvyo kama huna uwezo kuwa mkweli, what goes around comes around.
???una msimbazi wa karibu apo kiongozi?
Umesema ukweli, nimejaribu kuwatafuta mademu nilipokua nao zaidi ya Miaka 3 nyuma wooote baada ya kuwatafuta ni kuomba Hela tu😁😁Jua kali elfu kumi ( 10,000/=) ni sawa na elfu mbili ila kuipata sasa,
Maisha magumu yanazalisha wadangaji, malaya, mashoga na wezi/majambazi.
Ukiwa huna mwambie tu ukweli kuwa huna!
Unamaanisha Mimi ni mmoja ya waombaji? Yaani ukiniuliza mara ya mwisho kuomba ni lini hata sikumbuki, inaweza kuwa hata miaka 10 iliyopita. Namshkuru Mungu napata riziki ya kutosha kuniwezeaha mimi na familia yangu, aibu ndogo ndogo za kuomba zimenipitia mbali sanaWewe nae ni mmoja wao? Maana na namna ya uhandishi huu kuna namna hapa..
😆😆Wewe nae ni mmoja wao? Maana na namna ya uhandishi huu kuna namna hapa..🤣