Achana na habari za eti kutoka TAZARA hadi Mbagala!! Mbagala peke yake, ndani ya umbali usiozidi hata mita 500, kuna NMB, CRDB, NBC, Equity, KCB, ACB, Access, DCB, TCB, na Amana Bank. Na hapo nina muda kibao sijafika Mbagala.Kutoka Tazara mpaka Gongolamboto kuna zaidi ya Branch 4 za NMB.
Je kutoka Tazara mpaka mbagara zipo ngapi?
Tuanzie kwanza hapo[emoji23][emoji23][emoji23]