Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,954
- 147,841
Huku naniliu jeshini kwa mbele kituo kinaitwa kijiweni,Yah Hiyo ni fact Mimi gari napandia Mombasa Kwa washua gomzi maana Nina vigimbi vimekomaa sana Ile michakachaka ya gomzi ni hatari
Mwezi unaofuata nitaanza Tena kuoandia gari gomzi to uhasibu
Mbona nilikuwa naukanyaga kutokea huku hadi huko mombasa kwenda na kurudi.