Kati ya Mbagala na Gongo la Mboto wapi kuna watu wengi?

Kati ya Mbagala na Gongo la Mboto wapi kuna watu wengi?

Yaani goms iingie kwa mbagala nusu ya wakaazi wa Dar wapo mbagala.
Mbagala watu hawana utani na kuweka mimba.
Labda uunganishe Buguruni,vingunguti na goms ndo utaifikia mbagala.
Kwa haraka haraka mbagala inabebwa na Watu wengi Kwa sababu sio wakazi wa mbagala ni njia wengi wanakaa mwandege, vikindu, kisemvule mpk mkuranga yenyewe wakati hizo sehemu ni wilaya ya Pwani.

Kingine wilaya ya kigamboni imepunguza Watu Kwa sababu tuangoma yote mpk kibada Ile ilikuwa ni mbagala Kwa Sasa inajitegemea .
 
Kwa haraka haraka mbagala inabebwa na Watu wengi Kwa sababu sio wakazi wa mbagala ni njia wengi wanakaa mwandege, vikindu, kisemvule mpk mkuranga yenyewe wakati hizo sehemu ni wilaya ya Pwani.

Kingine wilaya ya kigamboni imepunguza Watu Kwa sababu tuangoma yote mpk kibada Ile ilikuwa ni mbagala Kwa Sasa inajitegemea .
Hapa nimekuelewa
 
nikianza na route za magari tu

GOMZ-POSTA-KIGAMBONI-tata na eicher.
GOMZ-MBUSHO-tata na eicher
GOMZ-MASAKI-tata na eicher


hizo route zote rush hours magari yanajaa sana,
bado sijaweka train,pugu posta.
bado gari ndogo coaster z buguruni,segerea,kawe route ndefu nk.
gongo la mboto ina watu aisee.
Gomz/Mbezi
 
Mbagara ukiichukulia yenyewe kama yenyewe haina watu wengi ila chukulia kipande cha TANDIKA ule ukanda wote Mpaka BUZA alafu urudi sasa huko chamazi mpaka Mbande. Ndio utasema kuna watu nyomi.

Ila kwa Gomz anzia Banana , na kule Kwa WAKURYA uje Hapo mjini kati MOMBASA upandishe mpk Ulongoni B uje PUGU plus Chanika.. GOMZ ina watu.

Mbagala ina watu sana..


Bank karibu zote Tanzania zina Branch mbagala sababu ya idadi ya watu

Kampuni zote zilizopo Tanzania zinazodili na fast moving consumer goods zina branch mbagala ama wakala wa mkubw sana wa kueleweka

Airtel, vodacom, hallotel, tigo wote wana ofisi zao mbagala zenye staff waajiriwa wao kabisa sio wakala wakala

Hiii yote sababu ya idadi ya watu mbagala

Average Kodi ya fremu mbagala rangi tatu ni kubwa kuliko gomz, kinondoni, sinza na hata makumbusho sababu ya idadi ya watu...
 
Back
Top Bottom